2. USIZITUMIKIE PESA(don't work for money).
hii ndio siri namba mbili baada ya kuangalia ile namba moja na mkubwa kuliko zote.kunawatu wanaamini kuwa wakijibidisha na kujitesa kwakufanya kazi sana maofisini (kuajiriwa) basi watajipatia utajiri mkubwa kitu ambacho si sahihi badala yake...
utajiri ni uwanda mpana Mkuu ndo maana nikasema usiniamini kwa kile ninacho kisema ila kichukue ukaongezee na ujuzi wako huenda tukapata kitu kizuri zaidi tuweze kusonga mbele.
it's just a way of making a large gap of distinction between Rich people and the poor one. the rich use it so that they accumulate more customers for their product they produce in their investments.kwahiyo ukiufuata huo mtazamo utabakia kuwa umefumbwa macho na utakufa ukiwa kama ulivozaliwa!!
si kweri!!!jamani tuwapotoshe watu jamani wakaenda kuzitumia alafu zikawaghalimu maisha yao bure adhabu tutaipata kwani huwa sio vizuri kuipotosha jamii katika mambo kama haya!!
nikweri hawezi kukupa ndo maana kuna watu wanafanya kazi mchana na usiku je kama ni kujituma kwanini wasiweze kuwa matajiri hawa watu!? lakini kuna siri ambazo Mimi nimezipata nitadondosha moja baada ya nyingine we endelea kuwa namimi hatua hadi hatua hakika kama utazitumia zitakutoa we nifate Mimi!
hizi sizo ndizo kwani ulizo zitaja zote nahisi ni mambo ambayo yanafanywa na watu kinyume na sheria za nchi kwa kutumia nguvu au nyadhifa walizonazo vibaya. lakini tunaposema mtu frani ni tajiri cha kwanza tunaangalia utambulisho wake katika ulimwengu wa biashara na je amekuwa mbunifu? na...
hakika hizi ndizo siri za utajiri matajiri wamekuwa wakizificha toka mda mrefu ambapo Mimi toka nikiwa na miaka Tisa(9)nimekuwa nikifatilia kwa ukaribu sana na kujiuliza maswali mengi kuwa kwanini duniani watu wote si matajiri? kwanini watu wote duniani si masikini? basi kutokana na maswali yote...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.