Recent content by Bahati Baraka

  1. B

    JamiiForums Tanzania Mwenye kujua jinsi ya kupata kazi nje ya nchi aniunganishe

    Nina uhakika mkuu
  2. B

    JamiiForums Tanzania Mwenye kujua jinsi ya kupata kazi nje ya nchi aniunganishe

    Habarini wana JF, mimi ni mhanga wa ajira kwa muda tuu ila nimetafakari na kuona halihalisi ya maisha yanavyozidi kuwa juu nimeona nitafute kazi nje ya nchi, nje ya Africa kazi yoyote ya halali hata kudeki vyoo, kwa anayejua au mwenye ndugu pls aniunganishe, asanteni mtakaoguswa.
  3. B

    JamiiForums Tanzania Watanzania waliopo nje ya nchi watapataje vitambulisho vya Taifa?

    Habarini wana jf humu ndani,jamani ningeomba msaada kwa anayejua njia rahic ya kupata hicho kitambulisho maana Nina shida natakiwa niende nchi flan na uhamiaji wameniambia siez pata passport mpaka hicho kitambulisho nimehangaika huko nida lakini mpaka sasa nikupigwatuu tarehe,nisaidieni kwa...
  4. B

    JamiiForums Tanzania Wadada! Ukitaka kupiga mzinga ..piga wa maana.

    Mmmh
  5. B

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kwanini wanyama hawafanyi mapenzi kinyume na maumbile?

    Niheri akuache kuliko kuikosa mbingu na kumkosa aliyekuumba
  6. B

    JamiiForums Tanzania Competitive man power

    Najua ni kampuni but nataka niijue kiundani zaid
  7. B

    JamiiForums Tanzania Competitive man power

    Habari wana jf,samahani kwa anayeielewa vizur hii competitive man power anisaidie pls
  8. B

    JamiiForums Tanzania Competitive Man Power

    Habarini wapendwa,samahani ningependa kuuliza kuhusu hii competitive man power kama kuna anayeifaham kiundani anisaidie pls
  9. B

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Sababu zipi hasa hupelekea watu kufanya mapenzi kwenye gari?

    Ndomaana ajali haziishi ni laana hiyo ghaa!!
  10. B

    JamiiForums Tanzania Natafuta kazi za ndani nnje ya Africa lakini sio kwa waarabu

    Picha ya nn bhana,kha!
  11. B

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wadada, kusema mnaogopa kuumizwa na mnapotongozwa mmeona fashion

    Humu jf sijui nizibe masikio yangu nisisikie maana ninayoyaona hapa naweza enda somea ubondia niwafundishe wanaume wa humu
  12. B

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ujana maji ya moto.. Maeneo tata niliyawai kugegeda

    Nyoooo huna hata haya,eti thanks God,unamtaja Mungu kwenye upuuzi mchafu kama huo
  13. B

    JamiiForums Tanzania Natafuta kazi za ndani nnje ya Africa lakini sio kwa waarabu

    Jamani bongo sitaki
  14. B

    JamiiForums Tanzania Natafuta kazi za ndani nnje ya Africa lakini sio kwa waarabu

    Jamani mwenzeni nimechoka bongo joto Kali hivyo natamani sana ningepata kazi hata za ndani nnje ya nchi ila zisiwe yuu nchi za kiarabu,anayeweza kuniunganisha msaada pls,pia iwe uhakika nikazi za ndani sio kupelekwa huko na kuuzwa kufanyishwa biashara za haramu
  15. B

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wadada naomba mjue bao la kwanza tu ndo tamu mengine huwa tunajilazimisha kuwaridhisha nyie tu

    Heeri niwe peke yaangu,heri niwe peke yaangu
Back
Top Bottom