INSIDER, TAFADHALI SANA CHUKUWA HAYA MAANDISHI, PRINT NA UYAWEKE KWENYE LAMINATION ILI UWE UNAKUMBUKA KLA SIKU. HUU NDIO UKWELI AMBAO HAUNA CHENGA YA UNAFKI. KUMBUKA MAMA J ALIONDOKA KWA SABABU YA MSG ZA PRISCA, IMAGINE AKISIKIA UNA MTOTO TENA UMEZAA NA IRYN.
KUMUWEKA MTOTO MBALI NA FAMILIA PIA NI JAMBO BAYA SANA. anaweza hold on kumueleza ukwelI Mama Jr kwa sasa hilo nakubaliana bnalo 100% ila angalau familia wajue kuwa kuna damu yao.
kwanza baba yako ni muuwaji. inaonekana na wewe huna kili kama baba yako.
kwahiyo hapo umejibu hoja ya Bandari ? huu sasa ndio ujinga wa kujitakia. Kama alishindwa kesi haimaanishi kuwa anachosema ni uongo. Madeni yake yake sisi hayatuhusu kabisa. watU wengi mmejaa uchawa kiasi cha kuwa vipofu...
hakuna ubaguzi wala hate speech, odoeni mkataba huu wa kipuuzi muone kama watu wataongea hayo mnayosema ni ubaguzi. Inakuwaje Tanganyika ndio wanaopenda sana MAENEDELEO kuliko Zanazibar? mzanzibar anauza Tanganyika ukiuloiza unaitwa mbaguzi. jifunzeni kuwa na vichwa vyenye Uwezo wa kusikiliza...
wapi kwenye mkataba pameandikwa kuwa bandari imekodishwa? hii imeuzwa kabisa maana tunaona mwanzo tu ila hakuna pahala popote imeandikwa kuwa itakuwa mwisho.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.