Recent content by backtobasics

  1. B

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ni namna ipi nzuri ya kuishi na mwanamke anayependa kuelezea mambo yenu ya faragha kwa marafiki zake?

    Pole kwa changamoto, usimhukumu pengine tu anajihusisha na marafiki wa ovyo na hulka yake ni yeye pia kuchangia mada zisizo na maadili kwa wanandoa..Nashauri omba kibali kwa Mungu akupe hekima ya kuzungumza nae maana unaweza anzisha kesi ya meseji. Ongea nae kwa hekima how this has made you...
  2. B

    JamiiForums Tanzania Njia ya kumuachisha mtoto kunyonya kidole

    sio mtoto wangu wa kwanza so this is my first experience, hayo yote yanafanyika au unataka hadi usingizini awe na toy!!?pacifier tushachelewa naona haitaki...
  3. B

    JamiiForums Tanzania Njia ya kumuachisha mtoto kunyonya kidole

    hii mpya!!!anyways alipimwaga damu yuko ok, hiyo HB
  4. B

    JamiiForums Tanzania Njia ya kumuachisha mtoto kunyonya kidole

    so waliacha wakiwa umri gani?meno yao vipi?ni kweli yaliathirika?
  5. B

    JamiiForums Tanzania Njia ya kumuachisha mtoto kunyonya kidole

    duuuh😂😂 !!!hii hatari sasa huyu mtoto wa kiume si ni noma sana
  6. B

    JamiiForums Tanzania Njia ya kumuachisha mtoto kunyonya kidole

    Wana JF, Ni njia gani isiyo na madhara ya kumfanya mtoto aache kunyonya vidole, ana miezi 7 sasa ila naona kwa kasi anayoenda nayo yaani hadi usingizini yeye yuko navyo tu... Sitamani afike umri mpaka anaanza shule awe ananyonya na pia nasikia vinaharibu dental formula hivyo nawezaje...
  7. B

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mke wangu baada ya kupata kazi na mshahara mnono ameanza kunidharau

    Mawazo mtambuka yanaruhusiwa...sidhani kama kaleta mada ili umtukane mwenza wake afterall hajalalamikia uzinzi, jitahidi kujenga hoja bila kuwa na mihemko..
  8. B

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kwanini baadhi ya watu huanza kukudharau unapopitia wakati mgumu maishani, na unapaswa kufanya nini ili kuvuka hali hiyo?

    umeongea vema, jitenge kwa muda ukifanya IBADA..Kumbuka an idle mind is the workshop of devil...Mtafute Mungu akuongoze hatua zako yaani utarudi kwa kishindo.Hata kama kuna muda utaona inachelewaila amini inakuja na itatokea na utakuja kutushuhudia...Mungu akufanyie wepesi ndugu
  9. B

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Jamvi la wanawake: Ni kazi gani za nyumbani anapaswa kufanya mwanaume / mume akitoka kazini?

    hekima tu itumike! atafute pa kuanzia, tafuta story ya facebook huko ajifanye kama anataka kusikia opinion yake, then anamchombezea na jambo lake kwa HEKIMA...kuna kitabu kinahusu love languages, anaweza kukitumia kumvuta mtoto wa mamamkwe, wakae wakisome au msimulie afu waulizane ni jambo gani...
  10. B

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Naombeni ushauri wana jamii juu ya uhusiano nilionao kwa mpenzi wangu

    Pole kwa changamoto Kwani mna umri gani?maana i can tell dada maturity bado..afterall wanawake hawajuagi nini wanataka so mwanaume ukisimama vizuri utamsaidia kujitambua.Hebu mkae muongee na wewe ujue nini unataka kwa mke
  11. B

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mke wangu baada ya kupata kazi na mshahara mnono ameanza kunidharau

    Pongezi sana kwa kuwa mume na baba bora wala usijione umeanguka bali umeteleza.Ndoa ni watu wawili kama mlivyokaa mkayajenga mkope mfungue biashara, mkoe mjenge nashauri rudini palepale..ndoa ni mawasiliano ndio KUHUSIANA kwenyewe...angalia pale ambapo mlikuwa mnafanya awali kwa sasa...
  12. B

    JamiiForums Tanzania Biashara ya Mafuta ya kula yaliyotumika

    sijaelewa naomba ufafanuzi
  13. B

    JamiiForums Tanzania Biashara ya Mafuta ya kula yaliyotumika

    Wakuu naomba kufahamu kuhusu hii biashara nimekutana na tovuti ya kampuni ya kichina wanasafirisha haya mafuta hivyo nataka kufahamu wanaposource haya mafuta. je, inawezekana wanakusanya kwa hawa wauza chips, samaki n.k?msaada nitoe tongotongo. Katika kuperuzi nimeona mafuta haya hutumika...
  14. B

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ni aibu sana kijana wa kiume kujisifia kuwa unatongozana na mke wa mtu. Hizi tabia mlijifunzia wapi?

    Malezi malezi malezi, tuwajibike kwa nafasi zetu kuepuke kizazi cha hivi....pengine wazazi / walezi waliteleza ila tuna nafasi ya kutengeneza kwenye kizazi gen Alpha
  15. B

    JamiiForums Tanzania Nimeumia, najiuliza kwanini TZ tunanunua kuku kutoka Brazil, Marekani na Saudi?

    hakika na changamoto yetu ni kuwa uzalishaji unawezekana ila malighafi ni gharama sana yaani lazima soko la ushindani litupige KO
Back
Top Bottom