Mkandara, anadhalilisha wasomi na usomi, inakuwaje awe anafundisha wanafunzi kuhusu utawala wakati yeye anataka kutawala kinyume cha sheria ? Kwa umri na kuheshimiwa sheria , he has to go...
Walau wewe unajua kinachoendelea, Maria Sarungi ndio amepewa jukumu, unafikiri kwenye siasa kuna permanent enemies? Kama alifukuzwa 2010 itakuwa ni timu ya kampeni ambao ilikuwa chini ya Baregu na Kitila Mkumbo.....au hujui wao ndio waliachwa chama?
Katika hali ya kutafuta jinsi ya kuweza ama kuibomoa ama kutaka kuonyesha kuwa Ana nguvu ndani ya Chadema na haswa kwenye baraza kuu , mambo yafuatayo yameandaliwa na team Zitto kwa kuratibiwa kwa ukatibu sana na watu wa idara kama ifuatavyo;
1. Ni kuwa leo Kigoma , aliyopewa jukumu la kuratibu...
shida mnahukumu mleta habari badala ya kuihukumu habari yenyewe.........huu ni mchezo wa kuwakamata vijana wa Chadema waliowarekodi wakina Sinbard Mwanga katika harakati za kutunga ushahidi kesi ya Lwakatare , wait you shall see....
Kutokana na habari iliyoandikwa na gazeti la Mtanzania la leo kuhusumajambazi kumvamia Mama Shida Salum na maelezo yake ambayo ameyatoa ni kamaifuatavyo;
i. Lengo kuu ni kuwa Polisi watamkamata Hemed Sabula, ambaye CHADEMA walimtumia kumrekodi Afisa usalama wa Taifa ambaye...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.