Recent content by Babycute

  1. B

    Simwelewi mpenzi wangu

    Asanteni kwa ushauri...
  2. B

    Simwelewi mpenzi wangu

    Habarini wana JamiiForums. Nina mpenzi ambae mwanzoni tulikua tunawasiliana vizuri mara kwa mara kujuliana hali na kujulishana yote yanayoendelea. Hivi sasa amebadilika sana kiasi kwamba nikimtumia sms hajibu,anakaa kimya,nikimpigia anasema yupo bize au amelala amechoka.nikimuuliza sababu ya...
  3. B

    Jina unalompa mwanao lina maana gani?

    Ni kwel majina mengine hayafai,majina kama chausiku,tabu,shida,masumbuko,sikujua,sikudhani..
  4. B

    Mchumba kanipiga mbata wapendwa

    Jaman nimecheka sana had mbavu zinauma....mbata ni hatari
  5. B

    Karibuni tujumuike wapendwa.

    kadi miguu yako 2,njoo A twn
  6. B

    Karibuni tujumuike wapendwa.

    arusha moja
  7. B

    Karibuni tujumuike wapendwa.

    Wapendwa wana mmu,nachukua fursa hii kuwaalika kusherehekea sikukuu hii ya eid el fitri.karibuni sanaaaaaaaa
  8. B

    Kweli hii kali nimeishuhudia mwenyewe

    Una ucngz,kalale tu
  9. B

    Nani kiranja wa hili jumba?

    Kufuta madirisha ya jumba msinisahau pliz..teh teh
  10. B

    mara moja inatosha

    Mmh!mara moja tu?ndo nn sasa bora usimwambie
  11. B

    Unyonyeshaji bora wa maziwa ya mama na maziwa mbadala iwapo ni lazima

    hata hvyo mwanamke anapaswa kujifunika wakat ananyonyesha kuficha nyonyo lisionekane kwan haifai kujiachia ovyo ovyo watu wayaone matiti
  12. B

    Wanawake wamewazidi wanaume kwa mambo haya?

    Wana chupi nying kuliko wanaume
Back
Top Bottom