Asumpta mshama Yuki na mgombea mwenza na wengine wore kwenye timu ya 32 wapo kwenye kanda ndio maana kila kanda anayopita maghufuli na Samoa wanakutana na time mpya ya ushindi iliyokuwa kazini kabla hajaja.ushindi ni MIPANGO usiwadanganye watu utachelewa .fuatilia ujue campaign timu Ilivyo...
Acheni kujidanganya mnafahamu niwatu wangapi wanatumia hii social network.kwingine hats hawaielewi tusiwe wavivu kufikiri jiulize watu wako wakaribu ikiwemo ndugu zako in wangapi wanatumia hizi jf fb na tweeter then statistics zako zianzie hapo kupima upepo.Niushauri tu
Mbona muuza unga wa USA wa Mbeya JJ hamumsemi.maana jukwaan mbele ya wazee wake anasalimu "washkaji vip.oya masela ni aje. "Bila hats kuangalia hadh ya anaozungumza nao sio wahun kama yeye anaharbu tu maadili ya ki tz
Hii inathibitißha kuwa in cooked data kwakuwa hats wateja milion nne walioko voda ni wateja wasio zidi laki mbili wako nA smart na hao hao pia wana tablet na kiasi kisicho zidi elfu sabini kinaongezeka kwa wanaotumia mtandao kwa internet activities the rest ni au hawatumii au wanatumia kwa...
Tatizo co ITV hats wao wamesomewa na cdm na wamewaletea watanzania wachuje na kutafakari maziwa na tui ni lip cc tui tumeliona ila cdm ni colour blindness wameshindwa kututofautishia .ila tuache ushabiki one day 1.6 signature mikoa 32 mmmh na kwa geografia ya tz this is a political art
Lazima tuhoji ubongo wa wana cdm cos hata chekechea hawezi danganywa kuwa lowasa amezunguka tanzania kwa siku moja na kupata1.6milion ya wazamin hizi ni siasa za mtaroni ebu mrudi darasani mkasome tena unless chadema waseme amewapataje
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.