naomba ushauri wenu ndugu zangu, mye ni mjamzito miezi nane ujauzito wa kwanza, leo asubuhi nilenda hospital kufanya kipimo cha utrasound, majibu yake,.... Majimaji yanayomzunguka mtoto hayatoshi, pia mtoto ana uzito mdogo sana Wt: 1442g, naomba ushauri nifanye nini au nile chakula gani angalau...