Mi hizo hadithi huwa hata sizi amini- na miaka yangu 30 na sijawahi kuona wala kushuhudia mauzauza ya aina yoyote- naskiaga tu kwa watu wakipigiana hizo hadithi-
Nilipata jeraha la kuchomwa na kisu- nikashonwa- siku nilipoenda hospital kwa ajili ya kutoa nyuzi (almost baada ya wiki) wakati wa zoezi nafikiri nesi alisahau kutoa baadhi- hivi mpaka Leo ninazo na sina tatizo lolote la infection wala nn-
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.