Kwa hiyo case yako utaipata. Kuna mmoja alishawahi kunichezeshea hivyo. Ila mwishoni benki walinisaidia nikaipata japo haikuwa amount kama hiyo ilikuwa chini ya million
Huyu wangu anajua hadi F-16 ndege zaki vita. Anasokiliza DW, BBC swahili utamuambia nn sasa kuhusu vita za middle East au ya ukraine vs Russia. Kwa kifupi ni mjuaji mwenzangu tu. Siku aliyo chomoa battery nikajua ni kamanda ni siku ananielezea kuhusu kifo cha kiongozi wa hezbollah Nasrallah...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.