Recent content by babuzer

  1. babuzer

    Leo mjanja nimekamatika, naona kama nimetapeliwa Tsh. Milioni 1

    Kwa hiyo case yako utaipata. Kuna mmoja alishawahi kunichezeshea hivyo. Ila mwishoni benki walinisaidia nikaipata japo haikuwa amount kama hiyo ilikuwa chini ya million
  2. babuzer

    Kama hakuna tatizo, kwanini wanataka maridhiano?

    Ukiuliza maswali magumu kama haya ccm watakupa majibu mepesi
  3. babuzer

    Clouds FM Moshi shida nini mwezi unaenda wa pili hawapatikani?

    Ni kweli mkuu niko moshi kwa ajili ya likizo toka nimekuja siipati kabisa clouds
  4. babuzer

    Kwanini wanaume hufa mapema kuliko wanawake?

    hizi pisi zita kuja kutuua jamani
  5. babuzer

    Wazungu hawapendi wanawake wenye makalio makubwa. Haya mambo yako huku kwetu Afrika tu

    Basi ninge kuwa naishi ulaya, na mimi wange niona kilema kwa jinsi ninge kula hao wenye ulemavu wa matako
  6. babuzer

    Nimeachwa na mchepuko wangu baada ya yeye kuwa maarufu

    hizi pisi zitakuja kutuua jamani
  7. babuzer

    Tabia za wanawake wa kinyamwezi

    Siyo wachoyo
  8. babuzer

    Tabia gani za walevi huwa zinakushangaza?

    Mbona sisi hatu wasimangi wanywa soda kausheni basi kama vipi
  9. babuzer

    Raha ya mwanamke awe na akili za kitoto sio unakuwa na mwanamke akili nyingi mpaka anafatilia mpaka vita vya Ukraine

    Huyu wangu anajua hadi F-16 ndege zaki vita. Anasokiliza DW, BBC swahili utamuambia nn sasa kuhusu vita za middle East au ya ukraine vs Russia. Kwa kifupi ni mjuaji mwenzangu tu. Siku aliyo chomoa battery nikajua ni kamanda ni siku ananielezea kuhusu kifo cha kiongozi wa hezbollah Nasrallah...
  10. babuzer

    Rais wa Yanga achia ngazi

    Mzee magoma effect. Bado hamjasema
Back
Top Bottom