Kumzuia mwizi ni bora kuliko umwache aibe aende ndipo ukamtafute umpeleke mahakamani hilo halipo utapoteza muda wako bure, halafu hakuna Mahakama ya kumshtaki huyu Mama hapa duniani.
Mkuu tunaokoma ni mimi na wewe pamoja na wazazi wako kule kijijini, kwani nyie wana ccm mkienda kutuma na kutoa hela mnakuwa na kadi ya ccm ili msikatwe tozo? kama sivyo acha ushabiki wa kijinga tunaumia wote pamoja na uccm wako.
Wameanza kuua ili kuwatisha wengine, lengo kuwakatisha tamaa, hakika Watanzania wataendelea kutetea rasilimali za taifa lao hawatarudi nyuma hadi kieleweke, maana hawa jamaa wako tayari kuua ili kutimiza lengo lao.
Mkuu hawapandishwi na dreva wala konda hupanda kama abiria na wengine hulipa kabisa nauli, sasa konda ataanzia wapi kumshusha ikiwa nauli yake kalipwa, kwa hiyo hawezi kurudisha hela kisa ombaomba.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.