Wabunge wote na Wakilishi kwenye bunge la mungano hawakupewa idhini na Watanzania ya kuwakilisha kwenye bunge la katiba. Watanzania wanawakilishwa na baadhi ya wale 201 tu!
Hivi waliompa Mh Lema majibu ya mke wa RC kutaka ifungue kwa sababu ya vumbi walikua hawana haya maelezo au ni ule uzoefu wa kutoa majibu mepesi mepesi bila kujali matokeo yake!
Sabababu zote za kufeli wanazijua ni kwamba mbinu zao (ccm) kutawala miaka mingine hamsini zimefichuka mapema..... eti ukiwa na wajinga unawatawala kirahisi! Lakini half-baked ni "time bomb". Hivi kwa nini wakati huu namba ya mtahiniwa ndo iliorodheshwa bila majina kama matokeo ya miaka...
If the main objective for piping the gas to Dar is for electricity production why not produce it (electricity) in Mtwara and distribute it through the national gril. This will ensure local employment and to me makes economic sence particularly for the fact that there is high potential for large...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.