Recent content by Babuedi

  1. B

    Nauza HP Pavillion Note Book

    420k
  2. B

    Mbona Viongozi wa Dini mkoa wa Dar wamekaa kimya wakati Mwenyekiti wao Sheikh Salum anashambuliwa mitandaoni?

    Saa nyengine kuna njia ya kuacha jambo lipite. Na hii ndiyo sifa ya Uungu. Kama mungu angelitolea tamko/ hukumu kwa kila baya basi dunia isingekuwa hapa leo. Kurudi kwenye mada ni kwamba: kiuhalisia hakuna mtu anayependa mwenziwe ateseke wala adhalilike. Ila kwa kesi hii kusema ni kuwapa kichwa...
  3. B

    Kama unataka kujifunza hacking lazima utazame hizi movies

    Indeed unafundishwa......UDOM college ya CIVE course ni cyber security!
  4. B

    Mwenzenu nimeukata!

    hata mimi wamenitumia leo.ila sidhani kama kuna ukweli kwenye hili.Mwenye taarifa au uelewa zaidi waje watueleweshe ila so far shilingi mia yangu kuwapa kwa sasa ni kubwa kuliko hela wanayosema nime(ta)shinda
  5. B

    Chuo Cha Madini Dodoma: Je tutafika?

    unatakiwa ufikirie kabla hujaandika.course ya petroleum na geology(mwaka wa kwanza) Madini hutolewa kwa mfumo wa excursion baina ya walimu na wanafunzi.Walimu huwapeleka wanafunzi Mbeya,Mtwara na Tanga tena maporini kwa ajili ya kuona features tofauti.Je nazo zinahitaji field za viwandani?
  6. B

    Chuo Cha Madini Dodoma: Je tutafika?

    ulitaka tukishushe kwa lipi kiongozi?after all hili si ndo moja ya majukumu ya msingi kabisa
  7. B

    Chuo Cha Madini Dodoma: Je tutafika?

    nashukuru kuwa content umeiyelewa.....lkn ili nisikunyime utamu wako basi ni diploma
  8. B

    Chuo Cha Madini Dodoma: Je tutafika?

    kinatambulika.na ni miongoni mwa chuo kilichokuwa tegemeo kwa kutoa mafundi mchundo kwenye sekta ya madini Tanzania.lakini nahisi ni ile hali ya kufanya kazi kwa mazowea tu kiongozi ambayo inapaswa kukemewa
  9. B

    Chuo Cha Madini Dodoma: Je tutafika?

    Habari za muda huu popote mlipo ndugu zangu.Mimi ni mwanafunzi muhitimu wa Chuo cha Madini Dodoma. Nimefanikiwa kumaliza chuo mwaka huu wa masomo 2016/2017. Miezi miwili baada ya kumaliza masomo nikapokea ujumbe wa kuwa result statement ziko tayari, na kwa hivyo kwa yeyote alie tayari basi...
Back
Top Bottom