Recent content by babudokwe

  1. B

    Ubalozi wa Marekani wawataka raia wake kuepuka kusafiri kwenda visiwani na maeneo ya Pwani kusini mwa Kisiju, Tanzania

    Ni mbinu tu hizo zinatafutwa za kuwauwa waislam, hakuna lolote kwakua wameonekana wana mtii Mungu kwa ibada fitna imeanza ili kuwadhulumu
  2. B

    Wanasheria wa Yanga wamewadanganya mashabiki wao kuwa kuna "miongozo ya kanuni"

    Mleta mada khanithi mkubwa iyo kanuni unaijua peke Yako tu?
  3. B

    Nani kama mama, Alimuokoa Fei toto wakanuna, kwa mara nyingine anaenda kuwa mgeni rasmi Derby waliyosusia

    Unajitekenya na kijichekesha mwenyewe tu uyo mama wenyewe ni Yanga
  4. B

    Waziri Mkuu wa Israel, Benjamin Netanyahu atoa onyo kali kwa magaidi wa Hamas!!

    Pumbavu hana lolote kapigana vita miaka 2 kipi alichofanikiwa badala ya kuuwa watoto, kinamama na kuvunja majumba tu?
  5. B

    Nimetafuta kwenye Quran hakuna sehemu Mungu amesema waislamu muoane

    Hawezi kuona Kafiri Aya hizi mana amekusudia ubishi
  6. B

    Watanganyika ajira za TRA 1574 Wazanzibar wametengewa 21%

    Nyie waKAVIRONDO wajinga kweli ile pesa yetu munayoikusanya huku ya TRA mukaletewa nyie kwani sisi hatuumii mulishazoea kutunyonya kwa mali zetu Sasa Leo viajira hivo tu vinakutoweni utu, katika mkataba wa Muungano kuna 4% ya Wazanzibari na hamutupi yote mumeiiba, Shenzi Waheed nyie
  7. B

    ZBC ni ya serikali au ya Dini ya kiislamu

    Kuna ZBC 2 hii ni ya Azam TV na imewekwa special kwaajili ya Dini tu, na kuna ZBC hii inamilikiwa na SMZ hii inajumuisha mambo yote taarifa ya habari, Ngoma, Dini, michezo, mpaka Dini yenu ya kikafiri wana vipindi vyao humo, Wacha kulalamika Kafiri Waheed we
  8. B

    Biti la Trump limefanya kazi huko Gaza

    Mungu akuzidishie hikma na uoni mkubwa wa kuwaelimisha majuha
Back
Top Bottom