Recent content by babu jeje

  1. B

    JamiiForums Tanzania Mke / Girlfriend wako akikwambia ukweli humridhishi kwasababu ya matatizo uliyonayo, Je akiku cheat bado una nguvu ya kumwambia "WHY ?"

    Akikwambia tambua amesha liwa nje ss anaona performance yko iko chini
  2. B

    JamiiForums Tanzania Msaada: Upungufu wa nguvu za kiume umepelekea nikose hamu ye tendo la ndoa

    Kwa hyo hvyo vidonge ni kwa ajili ya ku boost testosterone
  3. B

    JamiiForums Tanzania Niliachwa na baba mtoto wangu, kwa vimbwenga akaoa mke mwingine. Mambo yameharibika kwake anataka turudiane

    Ukiona hvyo bac mwenye makosa makubwa ni Mwanaume na alikuacha bila sbb ya msingi so lazma ajutie
  4. B

    JamiiForums Tanzania Tatizo la kuchukiwa kazini

    Dah asee hyo condition hata mimi naipitia ila nnapo jua flan ananichukia na hakuna sbb yyte Sina ugomv nae hanidai namuepuka huyo ni adui ..maisha yangu ni Siri mambo yangu binfsi hasa maendeleo najua mwenyewe tu mimi c muongeaji hasa kuhusu suala la maendeleo yangu binafsi nikiwa kazini.Watu...
  5. B

    JamiiForums Tanzania Nini Sababu: Mume amehama ghafla na kwenda kupanga bila ugomvi wala maelezo yoyote

    Kabisa maaana wanawake hawafichani mambo yao
  6. B

    JamiiForums Tanzania Sababu za ongezeko kubwa la single maza

    Kweli kbsaa
  7. B

    JamiiForums Tanzania Ni mwaka wa tatu nipo kwenye uadui mkubwa na wazazi wangu; siwasiliani nao wala sishirikiani nao kwa lolote

    Wahi kaombe radhi kwa wazazi wangali wapo hai
  8. B

    JamiiForums Tanzania Unatumia vigezo gani kumtambua Mwenza wa maisha?

    Suala la kuoa kwa hali ss nikamilisha ratiba
  9. B

    JamiiForums Tanzania Mke wangu anamtesa sana mtoto wa marehemu dada yangu

    Huyo c mmekuatana ukubwani mpe likizo kwanza aende kwao
  10. B

    JamiiForums Tanzania Wanandoa mlioachana mje hapa kutuambia mlianzaje na mlimalizaje

    Tusubiri walio pitia hzi changamoto
  11. B

    JamiiForums Tanzania Usioe mwanamke asiye bikra kama hujawahi kuwa na mahusiano na wanawake tofauti tofauti

    Sema akiamua kutoa sio lazma aliwe nje ni maamuzi yake
  12. B

    JamiiForums Tanzania Mwanamke ukiishi naye kinyumba (bila ndoa) hata kwa miaka kadhaa, kisheria hastahili kupata chochote endapo mtaachana

    Ikoje kisheria endapo mume akachukua mikopo benk akajenga halafu mkatengana kwenye mgao nyumba inatakiwa kuuzwa wakati huo makato ya benk wanakata kwenye salary ss hapo Bora nyumba iuzwe. Tulipe den la bank au mmoja aumie na makato
  13. B

    JamiiForums Tanzania Kitu gani kilikushangaza mara baada ya kuingia kwenye ndoa?

    Rangi zote nmeziona😀
  14. B

    JamiiForums Tanzania 𝗠𝗘𝗧𝗔 𝗸𝘂𝗳𝘂𝗻𝗴𝗶𝗮 𝗻𝗮𝗺𝗯𝗮 𝘇𝗮 𝘄𝗮𝘁𝘂𝗺𝗶𝗮𝗷𝗶 𝘄𝗮 𝗪𝗵𝗮𝘁𝘀𝗮𝗽𝗽

    Mbna nikijaribu ku download official watsap ina onyesha kma tyr natumia wakt natumia fm watsap
Back
Top Bottom