Hivi inawezekana kwamba hilo tatizo la ulevi wa kupindukia hadi kushindwa kutekeleza wajibu nyumbani ni la watu wote wa Wilaya ya Rombo au ni kwa baadhi yao tu? Maana kauli ya DC inamaanisha ni wanaume wote wa Rombo. Inawezekana kweli ikawa ni wote?
Kwani ilipoamua kuchagua kumuoa mkeo dhidi ya huyo "ex" haukuwa uamuzi wa dhati? Mbona sasa huoneshi msimamo? Ni wazi huyo "ex" ameshakuona unayumba na amepania kukuvurugia ndoa yako. Sasa we nenda Korea halafu utaona matokeo yake.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.