Recent content by Babluu

  1. Babluu

    Msaada: Mke wa mtu anataka kuhamia kwangu

    Acha mahusiano na wake za watu .
  2. Babluu

    Ziara Viongozi wa CCM yakosa mvuto

    Sijaelewa kidogo
  3. Babluu

    TANZIA Gardner G Habash mtangazaji wa Clouds Media afariki dunia

    إن لله وانا اليه الرجعون
  4. Babluu

    PONGEZI: Utenguzi wa Mkurugenzi Mafia Ili kupisha Uchunguzi, Pongezi ziende kwa Dkt. Dorothy Gwajima. Kiukweli kwenye hili amejituma sana

    Hii kweli mama YETU mpendwa imemuuma kama Mimi .Bora alichofanya ni kizuri .
  5. Babluu

    Serikali inawabagua wanafunzi wa shule binafsi; ushahidi huu hapa

    Pia shule teule huwa nafasi kwa kila wilaya na siyo A tu bali kila wilaya wanapewa labda Nafasi tatu za wasichana waende msalato moja tabora boys.Ikiwa wewe ni wa mjini usitegemee nafasi hizo kupata kwa sababu nafasi ni fixed kwa kila wilaya
  6. Babluu

    Serikali inawabagua wanafunzi wa shule binafsi; ushahidi huu hapa

    Kwenye serikali unaionea bure uchaguzi kwa shule teule wanaangalia VIGEZO MUHIMU KAMA ALAMA KWA KILA SOMO NA PIA A UNAYOSEMEA INATEGEMEA NI A YA NGAPI ?UNAWEZA KUPATA 41 NI A NA MWINGINE AKAPATA A YA 48 KWA SELECTION HUYO WA A 48 ATAPATA SHULE TEULE
  7. Babluu

    Rais Samia analazimisha kuizanzibarisha Tanganyika kwa nguvu

    Acha kujichanganya Mheshimiwa RAIS anahaki na sifa za kikatiba kufanya HAYO unayosema na siyo kwamba anapendelea .Kwa hiyo weka siasa pembeni twende kwenye uhalisia wa maisha.LETE MADA YENYE MISAADA KWETU SISI VIJANA NA SIYO KULALAMIKA TU.SAWA?!!!
  8. Babluu

    Somalia yajiunga Uanachama wa Afrika Mashariki (EAC)

    NI JAMBO JEMA WAO KUJIUNGA NA HIYO ITATUFUNZA NA SISI KULINDA RASILIMALI ZETU MUHIMU KWA KUWA WAO HAWAPENDI VIBARAKA WA MAGHARIBI NA NDIYO HIYO VITA YAO HASWA. TUTAKUWA NA UWANJA MPANA WA BIASHARA, KUOLEANA ,MILA ,DESTURI,ULINZI NA USALAMA ,KUWA JUMUIYA YENYE NGUVU, KUSAIDIANA KWA SHIDA NA RAHA
  9. Babluu

    Ni zaidi ya miaka 20 sasa somo la Hisabati linakuwa la mwisho katika ufaulu shule za msingi na sekondari. Nani alaumiwe?

    Mimi kwa maoni YANGU na tafiti nilizofanya walimu WENGI watoto WAO hawasomi SHULE za serikali yaani KAZI ya mikono yao hawaiamini,pia swala la maslahi haliwezekani kuwa SAWA kwa KUWA cadre zingine wanamarupurupu Sana,Pia mikopo yenye riba KUBWA inawaumiza sana,bado Kuna mikopo ya kausha...
  10. Babluu

    Mmoja kati ya Watanzania waliokuwa hawajulikani walipo Nchini Israel, yabainika amefariki Dunia

    Inna Lilah wainaileyh rajiun.Vita Haina macho pole kwa familia MUNGU awape subra
  11. Babluu

    Safi Israel kwa kulipua matanki ya maji Gaza

    Jamaa wameshindwa kuingia kwenye mahandaki wanaogopa kufa.Na nackia wanataka kusitisha vita kwa sababu kila Taifa duniani linapinga kuingia na kuikalia Palestine kibabe.Ukitaka kujua KUHUSU ukiristo ona hapa chini
  12. Babluu

    Hamna taifa litaloweza kuing’oa Israel Mashariki ya Kati maana hapo ndipo nyumbani!

    Jamani kama huna elimu ya jambo fulani usiandike huku jf ni aibu sana mtu mzima kukosa uelewa wa ISRAEL NA PALESTINE.WANAOWAKIFIKA FORM FIVE WAKISOMA HISTORY WAULIZE NAZISM NA FACISM IN ISRAEL.KITABU KILICHOANDIKWA NA WALTER ROODNEY
  13. Babluu

    Airbus A380 - Emirates - King of the Sky

    INAWEZEKANA JE WAVAA KOBAZI HAO WAMEPEWA FURSA ZA KUONESHA VIPAWA KWA NCHI YAO ?AU NI KAZI GANI HIZI ZA KULIMA AU ZA SERIKALINI ?NIMEPENDA NI CHANGAMOTO NZURI KWA VIJANA
  14. Babluu

    Nimecheka kwenye hii video mpalestina alivyofurahi Waisrael kuvamiwa na sasa analia

    Hizi issues,siyo za kufanyia mzaha ni mambo ya ajabu yanaendelea .Omba yasikukute vurugu za ovyo KABISA .Wala hupaswi kushabikia
Back
Top Bottom