Zote ni njia za kutafuta hela sio u maalum wa pekee tu. Tunategemea mwanafunzi akishajifunza katika shule hizo anakuwa bora zaidi katika masomo ya amali na vilevile tunapata madaktari bingwa ambao ni wepesi kuelewa katika masomo yao.
Hii ni ubunifu kuonyesha kwamba serikali inajali watu wake. Sina upinzani nao wabuni? Kwani kuna mtu kawazuia kufanya? Mimi nadhani tu wa mtu mwenyewe na sio kwamba nirushwa.
Waliosoma mpaka form six wanafahamu namna gani taifa la israeli liliundwa kwa msaada mkubwa wa mataifa ya magharibi. Palestine zamani ilikaliwa na uingereza na hivyo basi kabla ya hapo kuna mikataba lukuki ilifanyika ili kuboresha namna ya kuhalalisha ukaliwaji wa wa palestine dhidi ya taifa...
Wewe ni mtanzania kuwa mzalendo wa nchi yako.Siyo taifa mbadala au una uraia pacha? Isitoshe vita haina macho siyo ya kuunga mkono ovyo ovyo bila kujua chanzo na sababu za mapigano .Unga mkono maridhiano mezani siyo kuomba Mungu abariki mauaji yanayoendelea huko nchi za nje.UMOJA WA MATAIFA...
Katika mwezi na november 1917 ya uingereza ilifanya kioja cha ajabu ingereza ilikuwa kinara katika secular world wide yaani elimu mseto alitenganisha dini na siasa walipitisha azimio la balfur mbili mwezi wa kumi na moja elfu moja mia tisa kumi na saba serikali hii azimia kuanzisha taifa la...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.