Pia shule teule huwa nafasi kwa kila wilaya na siyo A tu bali kila wilaya wanapewa labda Nafasi tatu za wasichana waende msalato moja tabora boys.Ikiwa wewe ni wa mjini usitegemee nafasi hizo kupata kwa sababu nafasi ni fixed kwa kila wilaya
Kwenye serikali unaionea bure uchaguzi kwa shule teule wanaangalia VIGEZO MUHIMU KAMA ALAMA KWA KILA SOMO NA PIA A UNAYOSEMEA INATEGEMEA NI A YA NGAPI ?UNAWEZA KUPATA 41 NI A NA MWINGINE AKAPATA A YA 48 KWA SELECTION HUYO WA A 48 ATAPATA SHULE TEULE
Acha kujichanganya Mheshimiwa RAIS anahaki na sifa za kikatiba kufanya HAYO unayosema na siyo kwamba anapendelea .Kwa hiyo weka siasa pembeni twende kwenye uhalisia wa maisha.LETE MADA YENYE MISAADA KWETU SISI VIJANA NA SIYO KULALAMIKA TU.SAWA?!!!
NI JAMBO JEMA WAO KUJIUNGA NA HIYO ITATUFUNZA NA SISI KULINDA RASILIMALI ZETU MUHIMU KWA KUWA WAO HAWAPENDI VIBARAKA WA MAGHARIBI NA NDIYO HIYO VITA YAO HASWA. TUTAKUWA NA UWANJA MPANA WA BIASHARA, KUOLEANA ,MILA ,DESTURI,ULINZI NA USALAMA ,KUWA JUMUIYA YENYE NGUVU, KUSAIDIANA KWA SHIDA NA RAHA
Mimi kwa maoni YANGU na tafiti nilizofanya walimu WENGI watoto WAO hawasomi SHULE za serikali yaani KAZI ya mikono yao hawaiamini,pia swala la maslahi haliwezekani kuwa SAWA kwa KUWA cadre zingine wanamarupurupu Sana,Pia mikopo yenye riba KUBWA inawaumiza sana,bado Kuna mikopo ya kausha...
Jamaa wameshindwa kuingia kwenye mahandaki wanaogopa kufa.Na nackia wanataka kusitisha vita kwa sababu kila Taifa duniani linapinga kuingia na kuikalia Palestine kibabe.Ukitaka kujua KUHUSU ukiristo ona hapa chini
Jamani kama huna elimu ya jambo fulani usiandike huku jf ni aibu sana mtu mzima kukosa uelewa wa ISRAEL NA PALESTINE.WANAOWAKIFIKA FORM FIVE WAKISOMA HISTORY WAULIZE NAZISM NA FACISM IN ISRAEL.KITABU KILICHOANDIKWA NA WALTER ROODNEY
INAWEZEKANA JE WAVAA KOBAZI HAO WAMEPEWA FURSA ZA KUONESHA VIPAWA KWA NCHI YAO ?AU NI KAZI GANI HIZI ZA KULIMA AU ZA SERIKALINI ?NIMEPENDA NI CHANGAMOTO NZURI KWA VIJANA
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.