Habari za muda huu wana jamii naomba kwa anae fahamu namna ya kutumia internet bure bila kutumia bundle anipatie na mimi ni seleleke kama wenzangu natumia airtel....
NAOMBA KUFAHAMU ENGINE OIL YA KILOMETA 5000 AU 9000 NAWEZA KUIJUAJE NA WAPI WAMEANDIKA HAYO MAELEZO MAANA NIMESHA TUMBUA MACHO KWENYE MAELEZO YA KWENYE GARONI LAKIN SIJAONA
Habari wana Jamii naomba kufahamu kama kuna uwekano wa kujua mfanyakazi wa shirika, kampuni au mfanyakazi wa serikali anae tumia kadi ya afya ya NHIF kama kadi iyo ime beba watoto/wagemezi wangapi na majina yao... Asanteni nategemea majibu mazuri kutoka kwenu
Habari za mchana wana Jamii naomba kufahamu jinsi au ni app gani inayo weza nikipiga video call watsap nimeze kumrecod au nikipigiwa.
Asanteni nategemea kupata ushirikiano wa kutosha
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.