Recent content by BABAZIRO BACHELOR

  1. B

    Yupo wapi mbunge wa Muhambwe, Felix Mkosamali?

    mkombozi apigwa chini sababu ni usaliti akina yuda ni wengi
  2. B

    GE2015 Dr. John Pombe Magufuli anafaa kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano Tanzania

    Acha ndoto ya mchana wajukuu zetu wasije piga viboko makaburi yetu kwasababu ya kufanya uchaguzi kwa uzoefu , kuwa na fikra zinazoishi lowasa ndo mkombozi wako .tangu 1961 waliopata uhuru ni viongozi wa ccm wao kila siku ni sherehe harafu raia shida tu ,acha kupotosha umma .andaa maisha yako na...
  3. B

    GE2015 Dr. John Pombe Magufuli anafaa kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano Tanzania

    Think beyond don't undermine Tanzanians there isn't even a single day when the ruling system of CCM will faver its citizens. % Mti ni ule ule ambao matunda yake ni yale yale ya siku zote .Lakini ukae ukijua kuwa kwenye mti wa mkuyu huwezi vuna maembe. MAISHA BORA KWA KILA MTANZANIA YAKO WAPI...
  4. B

    Fundi wa mapenzi anapatikana hapa

    mapenzi niufundi tu katika kazi hakuna kitu
  5. B

    Kwanini tumpuuze Dr. Slaa na Mwakyembe?

    Mwakyembe na slaa wapuuzwe tuh! 1:lowasa kama waziri hana kinga ya kushitakiwa kikatiba mpaka sasa haja shitakiwa kuna nini hapo? 2:mbona muda mrefu umepita hivi richmond ni ya leo ,au sheria haina meno juu ya lowasa 3:wamesema wanaushahidi kwanini dr.slaa...
  6. B

    Umeambiwa, Lowassa ni muongo, tapeli, fisadi, na bado una mshabikia! Una matatizo makubwa

    Tumechoka ccm basi iwe chama cha upinzani .huyo slaa alisubili kubembelezwa kapuuzwa ndomana anapoteza muda si aende mahakamani .slaa, kwani kosa la lowassa limesha expire nenda kisutu, ccm imetumaliza tuko hoi ...sasa ukawa hatuna livers ni mbele na lowaaaasaaaaaaaa
  7. B

    UCHUNGU: Lowassa hawezi kuwa Rais tena popote duniani

    jacobo kajeje wanao bishi ushindi walowassa kuwahatashinda hao wamechanganyikiwa namoshi wasigara wakapime afya zao watake wasitake ikulu nilowassa tu watanzania tumechoka kubluzwa naviongozi wachama cha mapinduzi ccm dk magufuli ajindae tu pelesana ndg yetu hiniduniamwache lowassa atuongoze...
  8. B

    Dr. Slaa: Natishwa

    Makongoro ndo walewale akna kinana,magufuri,jk,nae hajitambui hayo sio yakusema mbele yetu sisi wachambuzi au kwa vile mtoto wa muasisi wa taifa ndo kibuli eti.
  9. B

    Lowassa ana bahati sana, sababu Magufuli hafai

    Huyo magufuri afie mbali watanzania tumechoka na sera ya jembe na nyundo .Kwanza ajibu swari kwanini Tz nimaskini ,mbali na hayo jembe na nyundo imewafikisha Watanzania wapi?na hasa mkulima.
  10. B

    Wasomi na wachambuzi wa kisiasa juu ya Magufuli BBC

    Hao sio wasomi mi naamini ni wana ccm walewale nakama ni wasomi basi stashahada zao wameacha kwenye notes .Harafu hao wachambuzi waache uvivu wa kufikiri .Wasijepotosha umma ukweli ukowazi harafu sisi ndo wapiga kura.
  11. B

    Baada ya kunikataa, amefanyiwa mchezo mbaya na kukimbilia kwangu

    We achana nae tu usje kujuta bure ,mana hapo unapima kina cha mto usiojua urefu wake kwa kutumia miguu yote miwili utazama ,BABAZIRO BACHELOR MCHANGO WANGU UPOKEE.BEST WISHES MY FRIEND
  12. B

    Hotuba ya Rais Kikwete kuliaga Bunge - 09, Julai 2015

    Tutamkumbuka kwa lipi jk wakati vijana hatuna ajira, acha pombe bwana..
  13. B

    Mpango wa wabunge kufisadi nchi kupitia posho na kiinua mgongo huu hapa

    usiongee kwa vile unaweza kuongea tu ,ila angalia unaongea nini mbele ya umma .Usiongee kwa kutumia uzoefu hebu ongea hoja usiwe kasuku ,kama ukawa huna imani nao basi hauko kwa mungu wala kwa shetani.mana unaunga mkono jk anaetuonesha kuongezeka kwa msongamano wa magari Dar essalaam kuwa ni...
  14. B

    Wana Newala tumwogope mtu huyu kama ukoma: CCM ufisadi kila mahali

    Matawi siku zote hayana amri juu ya shina kama shina ndo hiro ccm na matawi ndo wabunge wake na majani ndo madiwani unategemea nini matunda ?
  15. B

    Kiinua mgongo cha Wabunge chashushwa toka Milioni 238 kuwa Milioni 130!

    CCM wamezoea wakumbuke kuwa watanzania wanahali ngumu laiti kama watanzania wote wangekuwa na uwezo wa kujuwa wabunge wa ccm wanachogombania kuwa ni 238milions wangeandamana , wangejuta kuchagua mafisadi kama hao. UKAWA KAZENI BUTI maisha yabadilike watanzania tuache kuzeeka na miaka 40 maana...
Back
Top Bottom