Natafuta mwalimu ambaye yuko tayari kufanya kazi RORYA mkoa wa MARA (sekondari) kutoka maeneo kati ya haya; serengeti, tarime au musoma mjini . Mawasiliano ni 0765030444
nafanya kazi wilaya ya rorya MARA (sekondari) natafuta mwl wa kubadilishana kituo kutoka sehem zifuatazo serengeti, musoma mjini, tarime, mwanza. kama we unatoka maeneo tajwa na uko tayari kufanya kazi RORYA tuasiliane kwa no 0765030444
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.