Nawezaje ku trade soko la hisa la USA mikiwa TZ?
Nawezaje kununua big stocks kama AAPL, TSLA etc
Sio Forex bali Stock MARKET kama kuna broker naweza mtumia hapa TZ
Most ya makatibu wa wizara na mawaziri wako kwenye payrolls za waarabu na wazungu kulinda maslahi yao.
Cant prove this ama siwezi kuelezea with confidence ila will say anyway.
wanasema machimbo ya mafuta Mtwara yata drain mafuta ya uarabuni kwakuwa yako kwenye mkondo mmoja wa mwamba na Tanzania...
Kupata F shule sio laana .... ndugu zetu wengi wamepata na wanamaisha bora kuliko wewe..... Akina Bill gates hawajamaliza kabisa shule.... Mimi ni product ya Mzumbe so u need to know better darling
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.