Magufuli ataligharimu taifa, wengi wanafurahia pasipo kujua athari mbeleni

Ukiwa muoga usiogofye na wenzako
Huo sio uoga bali Ukweli kwani magufuli alipaswa apitie mikataba kwanza waitengue kabla ya kuja na hili la sasa ambalo wawekezaji wakienda mahakamani lazima watashinda kesi na Taifa kulazimika kuwalipa mabilioni
 
Walioligharimu hili taifa ni kina Mkapa,Kikwete na Lowassa.
Acha Magufuli apige kazi liwalo na liwe msituletee porojo vibaraka wa mafisadi nyie.
Kibaraka ni wewe umekula 10% ununuzi wa ndege kwa cash, ujenzi wa reli, bomba la mafuta kwenda uganda, bomba la gesi toka mtwara, Escrow, chenji ya rada, chenji bunge la katiba, pesa za NIDA mpaka zile bilion 251 zilipotea wizara ya ujenzi kwa kuwalipa makandarasi hewa wakai msukuma akiwa waziri wa ujenzi, wewe ni noma unakula pesa kimya kimya na Bashite huku ukiwa Dalali wa kumletea waganga wa kienyeji toka pande mbalimbali Duniani.
 
Mikataba ya mkapa na kikwete ndiyo iliwapa mamlaka kubeba michanga na hao hao ndiyo wamemchochea
Magufuli akiuke mikataba wakijua atakurupuka na kufanya vioja kisha wawekezaji watakimbilia mahakama za kimataifa ambapo uwezekano wa kushinda kesi ni 100% kulingana na aina ya mikataba yenyewe ilivyokaa, wapo wametulia wanasubilia Dili lao toka kwa wazungu litiki wapate 10% zao.
 
Je mkataba unaruhusu kufanya udanganyifu?
Kwani mbona meli ya samaki walisema inavua kinyume cha sheria? Kule mwanza alivunja kituo cha mafuta akadai kipo kwenye hifadhi ya barabara lakini vyote alishindwa kesi na mpaka leo serikali inawalipa mabilioni.
 
Hamna kitu nawe, nin umeandika bora dunia ijuwe watanzania wameamka, kilko kukaa kimya huku madini yanazid kwenda hapo nikumpongeza raisi wapinzan hapa tusiweke siasa,,, hongera rahis
 
Kila zama na msaahafu wake
Msaahafu wa magufuli tayari unasomeka hata kama aya zake ni aya za Mashetani bado zitahubiriwa vilivyo katika madhabahu ya haki
Ni upuuzi kuegemea upande ambao kwa kiwango kikubwa panaonekana kuliingiza taifa kuzim
Hivi tuamini wizi wa ACACIA ni wizi uliobarikiwa watanzania tujipongeze kwa wizi huo wa kimataifa au tuipongeze selikari iliyo amua kuangalia ukweli ulipo?
 
Mtoa mada ulivyo muoga sijui kama unalea familia ipasavyo,kwa uoga ulionao utakuta pia ktkt maisha yako kuna vitu vingi vimekushinda kuthubutu na kukusababishia umasikini unaokupelekea kuamini kua ni serikali ndo imekupa umasikini
 
MKWEPA KODI , sina uhusiano wwt na ACACIA, wala hata hawanijui.
Hili la kuona mtu mwingine mwenye mawazo tofauti na mawazo ya watu wengine katumwa, kahongwa, msaliti, mwiz, fisadi, litatupeleka pabaya. Lazima tutofautiane katika hoja ili tuweze kupata mawazo yaliyo sahihi zaidi. Katika hili, Mh amekosea kudeal nalo.
Ww ni adui wa maendeleo
 
Mtoa mada ulivyo muoga sijui kama unalea familia ipasavyo,kwa uoga ulionao utakuta pia ktkt maisha yako kuna vitu vingi vimekushinda kuthubutu na kukusababishia umasikini unaokupelekea kuamini kua ni serikali ndo imekupa umasikini
Tushindane kwa hoja Mkuu G'taxi , personal attacks ni za watu wasiokuwa na hoja. Nimetoa angalizo na ukizingatia historia ya matukio aliyoyafanya kipind cha nyuma, maangalizo km haya ni muhimu. Mm sio ndio mzee, kuhoji lazima.
 
Tushindane kwa hoja Mkuu G'taxi , personal attacks ni za watu wasiokuwa na hoja. Nimetoa angalizo na ukizingatia historia ya matukio aliyoyafanya kipind cha nyuma, maangalizo km haya ni muhimu. Mm sio ndio mzee, kuhoji lazima.
Bahati mbaya kushindana siwezi ila ukweli hua naujua sana tu..kuanza kubishana hapa muda wa kazi tutaonekana wote hatuna cha kufanya isipokua kupiga soga.tunaandika hapa lakini muda mfupi na kuendelea na kazi lakini si kujenga hoja na kuanza kubishana
 
Subiri wenzako tuangalie muvi ya kibongo, zinakuwaga nzuri maana siku hizi wameimpruvu
 
Mfumo wa uongozi aliouweka Rais
Magufuli awamu hii ndio utakaoliingiza taaifa hili pabaya. Magu amejitahid na amefanikiwa kuweka mfumo wa watu kuwaona wote wanao-challenge mawazo yake ni wezi, wapiga deal, mafisadi, wala rushwa au wamepewa chochote kile wamkosoe. Huu utaratibu ni mbaya na naona taratibu unaanza kulitafuna taifa. Ss hv ukiongea tofaut na mawazo ya Rais au Serikali yako basi ww utaonekana ni moja ya watu hao niliowataja hapo juu. Kuna vitu vingi tu ss hv Mh. Rais anachemka lkn watu (wataalam) wanapiga kimya kwa kuogopa kuonekana hawaitakii mema nchi hii au wamepewa hela (wamehongwa). Hii ni mbaya sana kwa taifa. Ku-challenge (kuhoji) maamuz au mawazo ya Rais (au Seikali) sio usaliti kwa nchi, ni njia nzuri ya kufanikisha mambo yaende, hatuwez kufanana mawazo au mitazamo naukiona mnafanana kwny kila jambo basi ujue anguko lenu limekaribia.

Kwny taarifa ya jana kuna vitu vimepotoshwa /vimekuzwa lkn watu hawawez kuviongelea kwa kuogopa km nlvyosema hapo juu. Mkulu anaposema kwa makontena yale 277 serikali ilkuwa inapoteza mapato kati ya Bil 676 na Trilion 1.147 ya dhahabu sio sahihi. Hizi ni true value (thamani halisi) ya dhahabu iliyopo kwny makontena ambayo ikiuzwa, serikali kupitia TRA itachukua kodi/tozo/mrahaba wa 4% kwa sheria ya ss hv. Kwahiyo hiyo hela yote sio ya kwetu, sisi tuna % tu ya hela hiyo iliyotajwa. Tatizo lililopo ni kuwa kulingana na taarifa ya tume, thamani halisi ya dhahabu ni ndogo kuliko iliyotajwa hapo mwanzoni. Sasa hili tumelikuza na kuwaaminisha wanatanzia tumeibiwa kati ya Bil276 na Trilion 1.147 wakati si kweli chetu pale ni 4% ya true value (Bil 676 to Tril 1.147)
Ni km kwny biashara zingine tu za uzalishaji, utazalisha soda utauza zile soda, baada ya mauzo halisi ya soda zile kwa thamani sahihi ya soda, ile hela iliyopatikana (gross revenue) itapigwa % kadhaa kama kodi/tozo na mzalishaji atabaki na chake baada ya kodi/tozo (net revenue). Sasa jana tumeaminishwa ile gross revenue baada ya kuuza zile dhahabu ni yetu yoteee. Hili tulikosea jana na kuleta tahaaruk kubwa ya kuonuesha kuwa tunaibiwa sana. Ni kweli tunaibiwa lkn tuepuke kukuza mambo.

Haya yote aliyoongelea Maguful hayajaanza leo kuongelewa, yamesemwa muda mrefu tu. Tatizo kubwa ni la mikataba mibovu tuliyokisha kuingia, hii ndio itatupeleka kwenye matatizo. Hatuwez kunufaika kwa kumfuka Prof Mhongo, ndio ana mapungufu yake meng tu, lkn yy sio source ya matatizo ya madini tuliyonayo. Kwa hli alilolifanya mkulu, we will feel the pain in the future, wenye migodi wamewekeza hela nyng sana and they are very smart to make sure they follow the state's (world) rules. Hawawez kuona hisa zao zinaporomoka hv na wasichukue hatua. Km tunavyoona ss hv tuna suffer kwa maamuz mabaya ya Mkapa, vivyo hivyo awamu zijazo tutasuffer kwa maamuzi haya mabaya ya Magufuli

Soma hii guardian newspaper. Tutaonewa mpaka lini? Afadhari tule majani enough is enough

World is plundering Africa's wealth of 'billions of dollars a year'
 
Back
Top Bottom