Hoja Binafsi: Kiukweli kabisa kuanza na elimu bure kwa levels zote (darsa la kwanza = form IV) haliwezekani kutokana na ukweli kwamba hakukuwa na muda wa kutosha kujipanga kimiundo na kiutawala. Serikali ingeanza hatua kwa hatua, yaani wangeanza darasa la kwanza walioanza mwaka huu, next year...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.