Recent content by BabaDesi

  1. BabaDesi

    Botswana imefanyaje kufikia hatua hii?

    ...Na Jeshi liko busy Kuliñda Mipaka ya Nchi TU, kinachoendelea Ndani ya Nchi halina Habari! Sad. [emoji35][emoji35]
  2. BabaDesi

    Serikali kutumia Tsh. Bilioni 190.57 kununua V8 mpya za Wakuu wa Mikoa, Wilaya na Ujenzi wa Makazi na Utawala

    ...Na NYONGEZA ya Pensheni Kwa Wastaafu' ni Lini ???... [emoji35][emoji35]
  3. BabaDesi

    It hurts me when no one will notice where ever I go

    ...Pole Sana. Unaumwa Nini ?...
  4. BabaDesi

    Mambo ni Shwari, Hakuna tena Matamko ya Pasaka kutoka kwa Wakatoliki na ACT(Umoja wa Makanisa).

    ...Subiri Sikukuu yenyewe Jumapili kwenye Misa !!....[emoji120]
  5. BabaDesi

    Watu 12 wakamatwa kwa kula hadharani mchana Zanzibar

    Zanzibar Sio Tanzania ??? [emoji848]
  6. BabaDesi

    Moshi: Vijana watano wanaodaiwa kumlawiti kijana mwenye tatizo la Afya ya Akili waachiwa kinyemela na Polisi

    ...Wanaishiwa kusikitika na Kulalamika ? Kwani Machame ndio Tanzania yote ? Mmeshindwa kwenda Hatua Kwa Hatua kupata Haki yenu ?? [emoji848][emoji848]
  7. BabaDesi

    Saa za mwisho za mpendwa Magufuli zilijaa maumivu na majuto mengi

    ...Tunajitahidi kusahau machungu ya kuondokewa na Mpendwa Wetu MIAKA MITATU iliyopita, haya Maelezo ya Nini Leo ?? Tumuache apumzike Kwa Amani !!! [emoji26][emoji26][emoji26]
  8. BabaDesi

    TCRA na TCU wachukue hatua kali kwa Wasafi TV kutokana na 'kiki' ya mapacha kufanyiana mtihani

    ...Kiki, Wakati Mmoja anamminya mwenzake Mkono asiropoke kwenye TV ? Ingekuwa ni jambo la kupanga, angemminyia Nini mwenzake wakati wamepanga Kiki ? WOTE wachukuliwe Hatua !
  9. BabaDesi

    Afungwa Kifungo cha Maisha Baada ya Kulipiwa Umeme (Luku) kwa Simu ya Magaidi

    ...Kweli. Ukute hiyo call haikuwa Moja TU ya kukua luku, Bali Zilikuwa Kadhaa' ziliwafanya Wajeda wa CIA wajue Jamaa anafahamiana nao zaidi, Sio kwenye kununua Luku TU !!!
  10. BabaDesi

    UKIMWI upo ndugu zangu

    ...UKIMWI umeishakuwa Maradhi ya Kawaida TU, mradi unafuata yanayotakiwa. Kuna ndugu yangu ana Mwaka wa 17 Sasa Toka aambiwe ana UKIMWI ! Hapo kati kati ndugu zetu kama Tisa hivi wameishafarikia Kwa malaria, Kwa kuharisha, Kwa Kisukari na Kwa homa TU! Ajipe Moyo. UKIMWI umeishakuwa Ugonjwa wa...
Back
Top Bottom