Recent content by BabaDesi

  1. BabaDesi

    JamiiForums Tanzania Rio Ferdinand: Mimi si Mwanasiasa na sijaja Tanzania kuzungumzia siasa, sipangiwi cha kufanya

    ...Aliishawahi Kutuambia huko nyuma kuwa ana mpangu wa kuja kusaka Vipaji ? Kwa Nini asiende Nigeria, Cameroon, Ivory Coast na kwingine Kwa namba hiyo ? Tanzania alikuwa anaijua kabla? Ina 'Vipaji' vingapi k kwenye Ligi Juu' ya Uingereza? Why now ??
  2. BabaDesi

    JamiiForums Tanzania Mwanza: Auawa na mabaunsa kisa Tsh 8000

    ....Hivi SI ingetosha TU kumkata na Kumpeleka Polisi kuliko kumpiga Hadi Kumjua Mdau wa Bar Yao ?? 🤔🤔🤔
  3. BabaDesi

    JamiiForums Tanzania Anjela Kizigha ni nani, Kwanini pamoja na lundo la kashfa bado anateuliwa Ubunge?

    ....Hivi Jeshi la Wananchi la 'Tanganyika limekaa TU likiangalia UPUMBAVU huu unaondelea Nchini ??
  4. BabaDesi

    JamiiForums Tanzania Kisa cha mwenye nyumba

    ...Notisi alikuwa nayo ya MIAKA MITANO, ndugu! Toka alipoambiwa akae Bure pale, ilitegemewa yeye ajiandae kutoka kwenye hiyo dazo on day One! Sio kusubiri upewe Notisi ya Miezi Miwili uanze kulalama! Usimdanganye, Ndugu !
  5. BabaDesi

    JamiiForums Tanzania Polisi wadai eti Rehema ndo alimuua Athumani Nyanza wa Ilala

    ...Kwa hiyo huyo mwezakejina lake linahidhiwa Kwa Nini ? SI wantaje ? SI na yeye ni Mshukiwa, au ??
  6. BabaDesi

    JamiiForums Tanzania Ili kuondoa dhana ya uchawa, Prof Kabudi ajiuzulu kama Yule wa US

    ....Sasa Kabudi anahasikaje Hapo ??? 🤔🤔
  7. BabaDesi

    JamiiForums Tanzania Simbachawene 2030 huyu mzee anaweza kutuvusha na kuunganisha Nchi tofauti na hapo labda Lissu

    ...Anaweza asiwe CHAWA, kama Inawezekana, lakini Wewe ni CHAWA kiwango Cha SGR !!! 😀😀😀
  8. BabaDesi

    JamiiForums Tanzania Arusha; Walioiba na kuchoma Moto kituo cha mafuta cha Panone Oktoba 29 waanza kufa mmoja baada ya mwingine

    ....Wewe unawafahamu binafsi walioiba Vitu Hapo Panone ? Na unawafamu rasmi mareemu Boda Boda SITA waliofariki Kwa Mkwara huo wa Panone? Una Hakika kuwa ni Panone amefanya. Vitu vyake?? Tujizuir Kusambazs Imani Potofu
  9. BabaDesi

    JamiiForums Tanzania Jinsi ya kumbaini Mganga tapeli

    ....Hakuna Mganda wa KWERI... Kuna Mganga wa KWELI !...rekebisha Hapo...
  10. BabaDesi

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mikao ya Kufanya Ngono Ili kupagawishana

    ....Habari za Shule! 😏 ....Habari za Shule !... Ndio umezijua Leo ukaona ututangazie ? Zipo Miaka yote! Hakuna Jipya. Sana Sana umetutangazia majina mapya TU, lakini hizo Style ziko Miaka yote ! 😏😏😏
  11. BabaDesi

    JamiiForums Tanzania Kwa kauli hii ya Padre Kitima nimeamini kuwa kweli Kanisa Katoliki ni sikio la kufa

    ...Kitima anawakosesha raja Sasa Hadi kuwafanya male na Viatu! Kosa lake kubwa ni Kusema UKWELI ....Kubalini Utekaji na Mauaji tar 29 Yalikuwepo ! Hamtaki ?
  12. BabaDesi

    JamiiForums Tanzania ITV kwanini hamtumii HD?

    ...Mengi aliondoka na ITV yake! Limebaki jina TU....
  13. BabaDesi

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Internet kuzimwa kwa siku 12

    ...Hivi hawajajifinza TU kuwahata Wakizima Internet Kwa MWEZI, watakapoifungua Duniani itajua TU kilichoendelea ? Hawajifunzi TU ?
  14. BabaDesi

    JamiiForums Tanzania Watanzania puuzeni babari zinazotolewa na CNN, kwa sababu ni chombo ambacho hakiaminiki na kimeshutumiwa sana na Donald Trump

    ...Mauaji ya Wananchi Yalikuwepo au hayaluwepo ??... Tuanzie Hapo ..
Back
Top Bottom