Recent content by BabaDesi

  1. BabaDesi

    Kisa cha mwenye nyumba

    ...Notisi alikuwa nayo ya MIAKA MITANO, ndugu! Toka alipoambiwa akae Bure pale, ilitegemewa yeye ajiandae kutoka kwenye hiyo dazo on day One! Sio kusubiri upewe Notisi ya Miezi Miwili uanze kulalama! Usimdanganye, Ndugu !
  2. BabaDesi

    Polisi wadai eti Rehema ndo alimuua Athumani Nyanza wa Ilala

    ...Kwa hiyo huyo mwezakejina lake linahidhiwa Kwa Nini ? SI wantaje ? SI na yeye ni Mshukiwa, au ??
  3. BabaDesi

    Ili kuondoa dhana ya uchawa, Prof Kabudi ajiuzulu kama Yule wa US

    ....Sasa Kabudi anahasikaje Hapo ??? 🤔🤔
  4. BabaDesi

    Simbachawene 2030 huyu mzee anaweza kutuvusha na kuunganisha Nchi tofauti na hapo labda Lissu

    ...Anaweza asiwe CHAWA, kama Inawezekana, lakini Wewe ni CHAWA kiwango Cha SGR !!! 😀😀😀
  5. BabaDesi

    Arusha; Walioiba na kuchoma Moto kituo cha mafuta cha Panone Oktoba 29 waanza kufa mmoja baada ya mwingine

    ....Wewe unawafahamu binafsi walioiba Vitu Hapo Panone ? Na unawafamu rasmi mareemu Boda Boda SITA waliofariki Kwa Mkwara huo wa Panone? Una Hakika kuwa ni Panone amefanya. Vitu vyake?? Tujizuir Kusambazs Imani Potofu
  6. BabaDesi

    Jinsi ya kumbaini Mganga tapeli

    ....Hakuna Mganda wa KWERI... Kuna Mganga wa KWELI !...rekebisha Hapo...
  7. BabaDesi

    Mikao ya Kufanya Ngono Ili kupagawishana

    ....Habari za Shule! 😏 ....Habari za Shule !... Ndio umezijua Leo ukaona ututangazie ? Zipo Miaka yote! Hakuna Jipya. Sana Sana umetutangazia majina mapya TU, lakini hizo Style ziko Miaka yote ! 😏😏😏
  8. BabaDesi

    Kwa kauli hii ya Padre Kitima nimeamini kuwa kweli Kanisa Katoliki ni sikio la kufa

    ...Kitima anawakosesha raja Sasa Hadi kuwafanya male na Viatu! Kosa lake kubwa ni Kusema UKWELI ....Kubalini Utekaji na Mauaji tar 29 Yalikuwepo ! Hamtaki ?
  9. BabaDesi

    ITV kwanini hamtumii HD?

    ...Mengi aliondoka na ITV yake! Limebaki jina TU....
  10. BabaDesi

    Tetesi: Internet kuzimwa kwa siku 12

    ...Hivi hawajajifinza TU kuwahata Wakizima Internet Kwa MWEZI, watakapoifungua Duniani itajua TU kilichoendelea ? Hawajifunzi TU ?
  11. BabaDesi

    Watanzania puuzeni babari zinazotolewa na CNN, kwa sababu ni chombo ambacho hakiaminiki na kimeshutumiwa sana na Donald Trump

    ...Mauaji ya Wananchi Yalikuwepo au hayaluwepo ??... Tuanzie Hapo ..
  12. BabaDesi

    Picha mbalimbali za Sheikh , Ibrahim Bakonzi

    ....Hajitambui !... Asante Kwa kutujulisha anapoishia...!
  13. BabaDesi

    PostGE2025 CNN, Larry Madowo, mmezionesha Media zetu jinsi uandishi wa habari unavyotakiwa kuwa

    ...Hakuna Hata Media Moja imeandika Kuhusu Waliouawa! Aibu ...😏😏
  14. BabaDesi

    Masikini Mange Kimambi

    ...Subiri kwanza uone, ndipo umpe Pole! Nikuulize kidogo, Wewe Utatoka ? Au unajiandaa TU kumpa Mange Pole ??? 🙄🙄🙄
Back
Top Bottom