...Aliishawahi Kutuambia huko nyuma kuwa ana mpangu wa kuja kusaka Vipaji ? Kwa Nini asiende Nigeria, Cameroon, Ivory Coast na kwingine Kwa namba hiyo ? Tanzania alikuwa anaijua kabla? Ina 'Vipaji' vingapi k
kwenye Ligi Juu' ya Uingereza?
Why now ??
...Notisi alikuwa nayo ya MIAKA MITANO, ndugu!
Toka alipoambiwa akae Bure pale, ilitegemewa yeye ajiandae kutoka kwenye hiyo dazo on day One!
Sio kusubiri upewe Notisi ya Miezi Miwili uanze kulalama! Usimdanganye, Ndugu !
....Wewe unawafahamu binafsi walioiba Vitu Hapo Panone ? Na unawafamu rasmi mareemu Boda Boda SITA waliofariki Kwa Mkwara huo wa Panone? Una Hakika kuwa ni Panone amefanya. Vitu vyake?? Tujizuir Kusambazs Imani Potofu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.