Recent content by BabaDesi

  1. BabaDesi

    JamiiForums Tanzania Wameanza kuwa wapole, 'tunafanya tathmini', mwachieni Lissu otherwise you face the consequences

    ...and they will soon catch You. start packing your Bags ! They are coming ! 💪💪
  2. BabaDesi

    JamiiForums Tanzania Wameanza kuwa wapole, 'tunafanya tathmini', mwachieni Lissu otherwise you face the consequences

    ....and waiting for you, Start packing your bags !
  3. BabaDesi

    JamiiForums Tanzania Waziri Mkuu mpya Uingereza aikana chadema. Hotuba ya Andy Burnham kama ya Rais Samia, hata wao mambo hayaendi

    ....Vyombo vya Habari UCHWARA....na Wandishi Wao Toilet Paper !! 🙂🙂
  4. BabaDesi

    JamiiForums Tanzania Samia anafurahia mateso ya Tanganyika?. Hebu soma Kwa makini

    ...TEC walikuwa wanachoea Kwa Maneno Gani, hebu tuambie ndugu..
  5. BabaDesi

    JamiiForums Tanzania Utaratibu wa kuzika haraka kwa Waislamu; Haiwezekani kuwa kuna watu wanazikwa wakiwa kwenye Coma?

    ...Hivi ukiwa kwenye Coma Wala humpumui Wala Moyi kudundà japo Kwa Udhaifu Sana ??
  6. BabaDesi

    JamiiForums Tanzania Rio Ferdinand: Mimi si Mwanasiasa na sijaja Tanzania kuzungumzia siasa, sipangiwi cha kufanya

    ...Aliishawahi Kutuambia huko nyuma kuwa ana mpangu wa kuja kusaka Vipaji ? Kwa Nini asiende Nigeria, Cameroon, Ivory Coast na kwingine Kwa namba hiyo ? Tanzania alikuwa anaijua kabla? Ina 'Vipaji' vingapi k kwenye Ligi Juu' ya Uingereza? Why now ??
  7. BabaDesi

    JamiiForums Tanzania Mwanza: Auawa na mabaunsa kisa Tsh 8000

    ....Hivi SI ingetosha TU kumkata na Kumpeleka Polisi kuliko kumpiga Hadi Kumjua Mdau wa Bar Yao ?? 🤔🤔🤔
  8. BabaDesi

    JamiiForums Tanzania Anjela Kizigha ni nani, Kwanini pamoja na lundo la kashfa bado anateuliwa Ubunge?

    ....Hivi Jeshi la Wananchi la 'Tanganyika limekaa TU likiangalia UPUMBAVU huu unaondelea Nchini ??
  9. BabaDesi

    JamiiForums Tanzania Kisa cha mwenye nyumba

    ...Notisi alikuwa nayo ya MIAKA MITANO, ndugu! Toka alipoambiwa akae Bure pale, ilitegemewa yeye ajiandae kutoka kwenye hiyo dazo on day One! Sio kusubiri upewe Notisi ya Miezi Miwili uanze kulalama! Usimdanganye, Ndugu !
  10. BabaDesi

    JamiiForums Tanzania Polisi wadai eti Rehema ndo alimuua Athumani Nyanza wa Ilala

    ...Kwa hiyo huyo mwezakejina lake linahidhiwa Kwa Nini ? SI wantaje ? SI na yeye ni Mshukiwa, au ??
  11. BabaDesi

    JamiiForums Tanzania Ili kuondoa dhana ya uchawa, Prof Kabudi ajiuzulu kama Yule wa US

    ....Sasa Kabudi anahasikaje Hapo ??? 🤔🤔
  12. BabaDesi

    JamiiForums Tanzania Simbachawene 2030 huyu mzee anaweza kutuvusha na kuunganisha Nchi tofauti na hapo labda Lissu

    ...Anaweza asiwe CHAWA, kama Inawezekana, lakini Wewe ni CHAWA kiwango Cha SGR !!! 😀😀😀
  13. BabaDesi

    JamiiForums Tanzania Arusha; Walioiba na kuchoma Moto kituo cha mafuta cha Panone Oktoba 29 waanza kufa mmoja baada ya mwingine

    ....Wewe unawafahamu binafsi walioiba Vitu Hapo Panone ? Na unawafamu rasmi mareemu Boda Boda SITA waliofariki Kwa Mkwara huo wa Panone? Una Hakika kuwa ni Panone amefanya. Vitu vyake?? Tujizuir Kusambazs Imani Potofu
  14. BabaDesi

    JamiiForums Tanzania Jinsi ya kumbaini Mganga tapeli

    ....Hakuna Mganda wa KWERI... Kuna Mganga wa KWELI !...rekebisha Hapo...
Back
Top Bottom