kila mzalendo na wrote wenye mapenzi mema wameamka na wanapigana kumnusuru mama yetu kipenzi,Tanzania, asiangukie mikononi mwa mwizi, mcumia tumbo na fisadi papa lowasa. lowasa atasubili sana. atamtoa wapi baba was taiga amnenee radhi..haiwezekani. bado siku 24 lowasa atambuwe kuwa maneno ya...