Duuuh, huyo boss nae kilaza, hakuwaza hata kufanya utafiti kwanza??? Hiki ndio kinatuponza wajasiriamali wengi wa kitanzania, tunapenda kusukia vitu vya kututoa kirahisi sana bila kufanya utafiti, boss angechunguza kwanza uhataji wa michachai kuanzai soko la ndani na nnje, mpe pole boss...
Kwani anakutongoza, ukakubari, uliweka mambo hadharani humu?? Iweje kuachana uanze kuweka mambo hadharani?? Jifunze kuwa mtu mzina na uzingatie maadali.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.