Recent content by Baba Linah

  1. Baba Linah

    JamiiForums Tanzania Nimeona gorikipa Goalkeeper Yakoub Suleiman akienda simba imenipa mwaswali magumu sana

    Hapa kwetu hapalipi kwani au ndo kukariri nje ni bora kuliko ndani kwako. Kwa namna ulivyoandika unamaanisha jamaa wanaogopa kucheza nje ya Bongo,kitu ambacho sio kweli naamini wanaangalia mambo mengi ikiwemo maslahi. Inabidi ujue Bongo pameshastawi kimpira,kingine huwezi kuwa na malengo...
  2. Baba Linah

    JamiiForums Tanzania GE2025 Mwenyekiti mstaafu wa CCM(Kikwete) leo ndio nimejua ni mnafiki wa kupindukia

    Alikuwa na heshima yake lakini sasahivi kila kukicha inazidi kubomoka.
  3. Baba Linah

    JamiiForums Tanzania Siku tukipata Rais makini Taasisi ya kwanza kufuta na kusuka upya ni TAKUKURU

    Huyo Rais atakuwa na kazi kubwa sana ya kufanya,huenda asiimalize wakammaliza maana karibia idara zote hazipo sawa.
  4. Baba Linah

    JamiiForums Tanzania GE2025 Luhanga Mpina wa ACT, ameondolewa ili asigombee Urais au ni drama na kiki ya kuongeza kura zake kwa kurejeshwa na Mahakama kimkakati?

    Asilimia kubwa ya Watanzania now wanajua kuchanganua mambo kuna upande unazidi kujichafua.
  5. Baba Linah

    JamiiForums Tanzania GE2025 Kamanda Muliro: Kama sheria haijakataza NRNE, basi imeruhusu NRNE

    Kuna vitu wakuu wetu wanaviwasilisha kwetu vinatia mashaka juu ya uwezo wao wa kutafsiri sheria na kama wanajua siku vikigeuka asitokee mtu kuwaonea huruma kama wafanyavyo sasa
  6. Baba Linah

    JamiiForums Tanzania Nyie Wajasiriamali zaidi ya 1,400 mnakumbuka mlivyopanga biashara zenu chini kabla ya Rais Samia hajatoa TZS27bn za ujenzi wa soko kuu la Mwanza?

    Siasa za kizamani hizi,hela za wananchi sio katumia za kwake,tutamsifia kwa namna hiyo kama atatoa hela yake mfukoni
  7. Baba Linah

    JamiiForums Tanzania Naona inawezekana Watanzania wote kufanya shughuli zao tarehe 29.10.2025 kutoenda kwenye vituo vya kupiga kura

    Uhalisia watu wote wanaojitambua walishaachana na mambo ya upigaji kura muda sana
  8. Baba Linah

    JamiiForums Tanzania Ukweli Mchungu: Sasa kila Mwananchi ajipambanie kivyake

    Uhalisia utendaji kazi wa hivyo vyombo umelalia upande wa wananchi wa kawaida inaumiza sana.
  9. Baba Linah

    JamiiForums Tanzania Umeshawahi kujiuliza Msichana wenu wa kazi 'wa Miaka hiyo' yuko wapi?

    Hatukuwahi kuwa na dada wa kazi home ila wa majirani walitusaidia sana kipindi cha balehe.Nakumbuka alimanusura bro apewe mke jamaa alisingizia hajawahi fanya chochote naye sababu mashine yake haifanyi kazi 😂😂😂 mpaka leo tukirudi kusalimia nyumbani mama yetu jirani ndio salamu yake
  10. Baba Linah

    JamiiForums Tanzania Jasmine Razack: Yanga wana Roho mbaya, wamegoma kumuuza Mzize, wanataka dola Million moja

    Kuongea uongo ndo uwakilishi gani huo
  11. Baba Linah

    JamiiForums Tanzania Jasmine Razack: Yanga wana Roho mbaya, wamegoma kumuuza Mzize, wanataka dola Million moja

    Huyo ni dalali anauwakala gani huyo
  12. Baba Linah

    JamiiForums Tanzania Jasmine Razack: Yanga wana Roho mbaya, wamegoma kumuuza Mzize, wanataka dola Million moja

    Yanga wasimamie msimamo wenye manufaa kwao sio kufanya kwa shinikizo la mtu ambaye amekuja katikati ya safari,anajifanya anauchungu na mchezaji kumbe anaajenda zake binafsi,anataka mchezaji aende sehemu atakayopiga pesa na Yanga wanataka wampeleke mchezaji ambapo wanatapiga pesa na ni sehemu...
  13. Baba Linah

    JamiiForums Tanzania Kama wewe ni 80s na 90s kid na haukuangalia hizi movies utotoni wakati unakuwa basi labda ulikulia msituni

    Picha ya Yesu,hiyo unaangalia kwenye uwanja mpira
  14. Baba Linah

    JamiiForums Tanzania Ifike mahali serikali ya Tanzania na hasa TCRA iwaheshimu watanzania

    Ndio maana elimu yetu haiuziki kimataifa.
  15. Baba Linah

    JamiiForums Tanzania Kagera: Rais Samia awajengea wahaya vyuo 5 vikubwa vya VETA kikiwemo cha Burugo alichotumia TZS20bn Sasa pamoja na kupenda kingereza na Ufundi watajua

    Kawajengea kwa pesa zake,anaroho nzuri abarikiwe sana.Kama ni fedha zetu Watanzania anakosea kujinufaisha nazo.
Back
Top Bottom