braza kila mkoa una fursa zake kiuchumi ambazo si lazima kuzikuta kila mkoa. arusha is like a tourism region and currently it is diplomatic. mwanza is economical naweza kusema hivyo shortly.
usije kwa jaziba, angalia uzi unasemaje na ulize ni kufafanulie kwanini nimeandika hivyo. unakimbilia kuandika dunia unajua maana yake au ulitaka tulinganishe dunia na kitu gani maana nimejikuta sikuelewi. econamically I can state why is mwanza city larger than arusha.
sie hatutaki kunenepesha uzi wa kifala kama huu kwa ku-coment, na hatutatuma picha za dsm kwa thread hii mpaka mtakapoanzisha uzi wa dar vs mombasa. napo tutaangalia maana the only city from kenya which can be compared to dsm ni nairobi. kuendelea kukomenti ni kuwapeni kiburi na sifa msizostahili.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.