Tanzania mpya imezaliwa tarehe 29/10/2025. Kila mpenda haki amefurahi bila kujali yupo chama gani. Kwa CCM tumefurahi zaidi ila wengi hawataweza kuweka furaha zao wazi kwa sababu mbalimbali ikiwemo unafiki. Mungu awabariki wote waliofanikisha maandamano. Ninawaombea kwa Mungu wote waliopoteza...
Nikicheki kwa jicho la mwewe ni kuwa kitendo cha kutumia nguvu kubwa sana kudhibiti haya maandamano ya CHADEMA ni kuihujumu serikali ya Mama Samia na kuipaka uchafu. Wanaomshauri Rais wapigwe tu chini. Ingawa CHADEMA nao walizingua kuja na kauli ya "Samia must go" , serikali ingetumia busara...
KARATU, ARUSHA
Mwaka 1996,
Sikumbuki ilikuwa ni mwezi gani ila ninachokumbuka ilikuwa kwenye miezi ya kiangazi wakati kanisa la kisabato lilipoandaa mkutano mkubwa wa injili (effort) mjini Karatu mwaka 1996. Ninachokumbuka ni kuwa makanisa matatu ya kisabato yalishirikiana ambayo ni SDA Karatu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.