mwanamke kikuekea mipaka ktk suala la mapenz, et mpaka ndoa ujue hakuna upendo apo nakikubwa anakuwa hana imani na ww mkuu, mwanamke ukiwa unamwambia ukweli kuwa unampenda atakusumbua ni bora umdanganye ndo atatulia na atakupenda sana , takwimu znaonesha kuwa wanaume wanaocheat ndo wanapendwa...