Recent content by Baba Jazey

  1. B

    Subaru Forester Xt (Sjg - Turbo) 2015 vs Subaru Forester 2015 (Sj5 - Non Turbo)

    Subaru Forester zote ulizozitaja hapo ni gari nzuri na ni rafiki kwa matumizi ya mazingira yetu Kuhusu service hazina gharama ya wewe kushindwa kuifanyia Ulaji wa mafuta kwa kipato chako unaweza kabisa mana zinakula kawaida CHangamoto za kiufundi Kuna changamoto za oil, mafundi waengi...
  2. B

    Kabla ya Babu wa Loliondo kulikuwa na Ngetwa

    Daaaah nlikuwa nawaona madingi wanapiga sana hii kitu ,
  3. B

    Nimegundua mme wangu sio mwaminifu

    Kila siku unadikia simu zinavunja ndoa , sasa wewe kwa nn unachunguza simu ya mume wako ? Mwana kulitafuta mwana kulipata Kingine shukuru sana mume wako anajali afya Yuko tayari kupima kabla ya mzagamuano Ushauri: usiwe unashika simu ya mume wako Ione kama kituo Cha polisi Wanaume wote ndo...
  4. B

    Tukio la kupasuka kioo cha ndege kilicho mtoa rubani na kupona

    Daah kila kazi inachangamoto zake , hii kazi ni ngumu sana pale inapotokea shida
  5. B

    Wakati Mwingine Michepuko Uhimarisha Ndoa

    Michepuko inasaidia sana sio kwa wanaume tu hata kwa wanawake Ndoa za sasa zimekuwa na mitihani mingi sana unakuta mwanamke anataka kumtawala mwanaume yeye ndo awe mfanya maamuzi kelele kila siku ,ukiomba dudu unapewa kwa masharti , sasa hapo ni Bora ukatafute kimchepuko chako unatoana...
  6. B

    Una ushauri gani kwa kijana anaetaka kutoka kijijini kuja mjini?

    Njoo mjini, ukitulia unatoka mana mjini kuna mzunguko wa pesa kuliko kijijini
  7. B

    Watu wa Arusha jamii ya Wameru wana utaratibu mzuri wa Kuwafunda Mabinti zao kuwa Wanawake bora kwenye Familia

    Mmmm narenduuu ni shida nyingine , wanawake ni wababe sana, wanatabia ya kushindana na wanaume, wao mwanaume sio dili kwako Japo wanapiga kazi balaaaaa ,
  8. B

    Hii kero ni kwa shule hii Tu au huko kwengine yapo haya?

    Mtoa mada Mimi naona umeshajibiwa ni haki wazazi kuwajibika na sio tatizo kabisa kwa wazazi kuchangia 80 Hoja ya walimu kutotimiza majukumu yao Haina mashiko: unajua jinsi walimu wanavyofanya kazi? Unajua mwisho wa kazi ni saa ngap? Mimi ninaona huku mtaani wanafunzi wengi wanataka saa 11...
  9. B

    Utafiti: Wanaosafiri wana raha sana kuliko shopping

    Kusafiri raha sana , kwanza unajifunza tamaduni za jamii mbalimbali , tunakutana na marafiki kibao , unajifunza vitu vingi Tena hapo ukute una gari yako binafsi, Yani kambi popote
  10. B

    Wali sekondari yageuka shule ya mateso kwa wanafunzi

    Mimi naona hapo ni hiyo 50,000. Sasa kama shule inafaulisha kwanza ni jambo la kumshukuru uongozi wa shule Walimu sio wajinga , hawawezi toa adhabu bila kuwepo na kosa , kikubwa wazazi tuwe na moyo wa kumshukuru. Kazi wanayoifanya walimu ni kubwa sana
  11. B

    Kuweni makini na wauza vifurushi wa mitandaoni

    Chekundu chekungu chengundu aaahahaha.......... Ndo waliwaoooo
  12. B

    Jipatie korosho kwa bei ya ofa

    Weka bei ya offer kwa arusha soko kuu kg ni 20,000 na zipo nyingi Weka bei ya chini chaaap unapata watea
  13. B

    Hongereni NMB

    Bonge la ngongingo
  14. B

    Napenda sana majirani wa aina hii

    Kama Hilo tukio ni la kweli haukupaswa kufanya hivyo ndugu , utu ni muhimu sana , we ungeachana na huyo mama akawasaidia hao watoto
Back
Top Bottom