Recent content by baba francis

  1. baba francis

    Naomba kufahamishwa uhalali wa kimamlaka alionao WEO katika hili

    Ni wiki sasa imepita tangu Mtendaji kata alipochukua vifaa vyangu vya pool table kwa kosa la kufunguliwa kabla ya muda. Lakini kila nikimfuata anadai hajisikii kunipa na atakapojisikia kufanya hivyo, atanitafuta yeye mwenyewe. Je, mamlaka ya kisheria yanamtaka kufanya hivyo (kukaa na vifaa...
  2. baba francis

    Nina 'supp', naweza kuajiriwa?

    kama matokeo yako ya semester 5 yalikuwa poa ajira inakuhusu but huko uendako ndo unaweza kukutana na mziki
Back
Top Bottom