Hili Taifa limelaniwa, maana kushabikia magufuli na kutoihitaji katiba ya waryoba ni ujuha uliokufuru..Huyu mwanakijiji ni bomu kwa vizazi vya Tanzania
Kupata TIN ya kampuni tu bila Lesseni Sh. ngapi??? niko Nje ya nchi ila ofisi ya Kampuni yangu yako jiji la Mwanza
Nipe bei ya kuprocess iyo TIN na Muda wa Kuipata, jitaidi iwe affordable ili niwe tuwe mutual business partner.
Nitumie kwenye johanes.marwa@yahoo.com
Wanajukwaa,
Ikiwa viongozi wakuu wa ukawa wako kwenye hatua za mwisho kumleta Rais anaesubiliwa na umma mzima wa Tanzania, wananchi jimbo la butiama na Mara kwa ujumla wameendelea kusema wazi wazi kuwa mabadiliko hayo ya kulikomboa taifa sasa yataanzia butiama, ambapo wengi wao wameshangazwa na...
Hamduni ni Mnyarwanda, ameoa Mrundi, Elimu hana anajaribu kuchezea akili za watanzania, Ametunzwa na Watanzania akajisahau kuwa hawamjui ni Mnyarwanda. Dawa lake ni Kumkurenzizi tu
IWE ISIWE JIMBO HILI LIKIGAWANYWA KIJANA MARWA JOHANES MARATO ATASHINDA KWA KISHINDO BUTIAMA KWA KISHINDO KAMA CHADEMA/UKAWA ITAMSIMAMISHA KIJANA HUYU.
Ndg;
Wana Jamvi,
Chadema imejiandaa vizuri kupata mrithi wa kiti cha ubunge Butiama, Ni msomi ambaye anaweza kuleta mapinduzi makubwa...
Ndg, wanajamvi
NI KWELI MKONO HAWEZI KUSHINDA HATA KIDOGO ILA HATA YUSUPH KAZI KWA TAALUMA YAKE YA DARASA LA SABA, ULEVI ULIOPINDUKIA NA UWEZO WAKE MDOGO WA KUJENGA HOJA JUKWAANI HAWEZI KUPITISHWA NA CHADEMA, BUTIAMA INA WATIA NIA TAKRIBANI WATANO KWA TIKETI YA CHADEMA ILA MWENYE SIFA ZA...
IWE ISIWE JIMBO HILI LIKIGAWANYWA KIJANA MARWA JOHANES MARATO ATASHINDA KWA KISHINDO BUTIAMA KWA KISHINDO KAMA CHADEMA/UKAWA ITAMSIMAMISHA KIJANA HUYU.
Ndg;
Wana Jamvi,
Chadema imejiandaa vizuri kupata mrithi wa kiti cha ubunge Butiama, Ni msomi ambaye anaweza kuleta mapinduzi makubwa...
Aliyekuwa m/kiti wa ACT-Tanzania mkoa Morogoro, Steven Dazza ametangaza kujiuzuru na kurudi CHADEMA na kutangaza kugombea ubunge jimbo la Morogoro Mjini.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.