Recent content by Baba Davey

  1. Baba Davey

    Ushauri: Kuna mwanamke ananipenda lakini mimi naishiwa hamu kwa kuwa ananuka mdomo

    Tunza siri mengine tatua kama mwanaume !! Unampenda ,anakupenda fix her problems. Kuandika andika inadhihirisha jins ulivyo dhaifu na mvivu wa kufikiri!! Be a man my boy.
  2. Baba Davey

    Soko la nyanya

    Soko la nyanya lipo mwanza pande za Buhongwa!!jitahid upate updates za hilo eneo kama zitakidhi malengo yako uliyojiwekea baada ya kuuza
  3. Baba Davey

    Usafirishaji

    Bei inategemeana na mzigo ulionao pamoja na uchu wa pesa wa driver .
  4. Baba Davey

    Naomba kufahamu kuhusu Bima za magari

    Naomba anaejua kuhusu bima za magar zinagharimu sh ngap, mud a gani,je zinatofautianaje na zile bima za nyumba.?
  5. Baba Davey

    Natafuta Business Partner

    Mi naona anaongelea faida tu!!!kuhusu pesa ya mwanzo inajulikana waz lazima irudi.
  6. Baba Davey

    Biashara za kiafrika zinakufa mmiliki anapofariki

    Inategemeana na Mungu alivyopanga !! Anaweza akafarik ndo fursa za kipato zikaongezeka au zikapotea kabisa
  7. Baba Davey

    Mbigiri-Kilosa: Bei ya nyanya yashuka hadi sh 700 kwa ndoo ya lita 20

    Weken kwenye matenga mzisafirishe mpaka dar angalau kuna solo zuri zaid ya huko!!! Moro to Dar ni karibu xana
  8. Baba Davey

    Ili upate ajira haraka Tanzania hakikisha usikose sifa hii

    Kadi ya kijan haina tija sana ila ww unaetaka ajira make sure unaonesha uwepo wako kazin pindi unapoajiriwa!
  9. Baba Davey

    Wapi naweza kuuza matikiti yangu?

    We tafuta meza masoko tofaut idad ambayo unaweza kuimudu!! Kisha safirisha uuze rejareja na mengine tafuta wafanyabiashara uwazie !! Kuwa name moyo wa uvumilivu utafanikiwa na usiangalie ni lini yataisha...(fight )
  10. Baba Davey

    Ushauri; Nataka kuthubutu kuanzisha biashara ya Hiace

    Naombeni ushauri na changamoto! Coz nataka nithubutu kwa kununua gari ndogo ya usafiri iitwayo (Hiace) ili nisafirishe watu maeneo to faut kama biashara.
  11. Baba Davey

    Hivi wanaotoa elimu za Ujasiriamali wao wametajirika?

    Wapo waliotajirika na ambao hawajatajirika !! Ila kazi yao ni kukujenga ujitambue, ujue ni fursa gani inakufaa ulivyo,na kukumbusha kuwa unaweza fanya kitu ukithubutu.
Back
Top Bottom