Makaratasi yanayoitwa vyeti sio akili. Akili huwa ni wewe mwenyewe bila hayo makaratasi...
Ushahidi ni namna ulivyoshindwa kujenga hoja yako ukiwa wewe kama wewe bila hayo makaratasi. Kimsingi hakuna chochote cha maana ulichoandika.
Nimegundua huwa tunafanya makosa mengi saana. Kwa mfano, ukoo wetu tulifanya kikao cha ukoo mwezi wa sita bila kibali. Kwa mujibu wa maelezo ya polisi kama nilimsikiliza vizuri maana yake tulifanya mkusanyiko usiokuwa halali. Kimsingi hata kukusanyika bar na rafiki zako inaweza kuwa mkusanyiko...
Ukiwa mtoto, unakuwa unavalishwa kasuruali kadogo. Ukiwa mkubwa , unakuwa unavaa suruali kubwa.
Kimsingi kuvaa suruali kubwa baada ya kuwa mkubwa sio maendeleo.. Au nasema uongo ndugu zangu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.