Recent content by BABA-D

  1. BABA-D

    Swali: Kuna umuhimu gani wajumbe wa CCM kupiga kura kuchagua wagombea?

    Hii ni proof kuwa COVID19 ilikuwa mchongo
  2. BABA-D

    Kitendo cha Watanzania wengi kufurahia Taifa Stars kufungwa na Morocco kinapasa kifikishe ujumbe muhimu sana kwa Samia na CCM

    Nimefurahi saana aisee maana kama tungeshinda, kuna wapuuzi wangeanza kusema hizi ni jitihada za awamu ya sita
  3. BABA-D

    Polepole apuuzwe, tuliosoma naye tulimuita Polisi/Usalama

    Makaratasi yanayoitwa vyeti sio akili. Akili huwa ni wewe mwenyewe bila hayo makaratasi... Ushahidi ni namna ulivyoshindwa kujenga hoja yako ukiwa wewe kama wewe bila hayo makaratasi. Kimsingi hakuna chochote cha maana ulichoandika.
  4. BABA-D

    Mkusanyiko usio halali ni upi? Kwa kifungu gani? Hizi mbinu alitumia mkoloni pia kudhoofisha wapigania uhuru

    Nimegundua huwa tunafanya makosa mengi saana. Kwa mfano, ukoo wetu tulifanya kikao cha ukoo mwezi wa sita bila kibali. Kwa mujibu wa maelezo ya polisi kama nilimsikiliza vizuri maana yake tulifanya mkusanyiko usiokuwa halali. Kimsingi hata kukusanyika bar na rafiki zako inaweza kuwa mkusanyiko...
  5. BABA-D

    Bikra zipo nyingi sana huku pwani

    Mbona hata wanaopiga miguu yote wengi ni wa wani
  6. BABA-D

    Dawa ya mwanamke akianza ujeuri katika ndoa

    Umejaribu kuandika notes za theory. Practically ni tofauti mno
  7. BABA-D

    Safari ya miaka 9 tangu kuacha kazi. Hamasa kwa vijana wenye maono makubwa

    Nilitaka kusema hivyo hivyo.. Kutengeneza elfu 10 kwa siku maana yake ni kutengeneza 300k kwa mwezi. Itoshe tu kusema haya sio mafanikio
  8. BABA-D

    David Kafulila: Miaka 60 hekta 500,000 za umwagiliaji miaka 4 ya Rais Samia hekta mpya 400,000

    Ukiwa mtoto, unakuwa unavalishwa kasuruali kadogo. Ukiwa mkubwa , unakuwa unavaa suruali kubwa. Kimsingi kuvaa suruali kubwa baada ya kuwa mkubwa sio maendeleo.. Au nasema uongo ndugu zangu...
  9. BABA-D

    Maneno kama haya kwenye Hotuba ya Bajeti yalilenga nini?

    Yaani yslilenga kuhararisha kuwa yanayotokea sasa hivi
  10. BABA-D

    Tuwe makini na sakata la Gwajima, huenda ni Move ya CCM ili atoke aende ACT akagombee Uraisi, kumbuka ya Membe

    Hii picha ingetokea baada ya mkutano wa CHAUMMA Mwanza ningekubaliana na wewe
  11. BABA-D

    Haya ndio majibu na uchambuzi wangu mzito na wa kina kwa hotuba ya Askofu Dkt. Gwajima

    Je? uchambuzi wako ni upi kuhusu watu wanatekwa bila watekaji kukamatwa?
  12. BABA-D

    Rais Samia amepoteza kanda ya ziwa- Gwajima apigilia msumari

    Mimi binafsi siwezi kupigia kura CCM ya sasa
Back
Top Bottom