Recent content by baba B

  1. B

    Natafuta nyumba ya kupanga

    Natafuta nyumba mitaa ya kijitonyama iwe na rooms kuanzia mbili za kulala na iwe master mita ya umeme ya kujitegemea plz kwa mwenye msaada call me 0768570703
  2. B

    Natafuta nyumba ya kupanga

    Hahahaha u r fun of ur self. Haya big bro
  3. B

    Toyota rav 4 mpya inauzwa

    Mwisho 22m
  4. B

    Toyota rav 4 mpya inauzwa

    Haina maslah msalani
  5. B

    Natafuta nyumba ya kupanga

    Asprin nadhan kuna hoja ambayo unayo na sijaijua. Kwan ni kosa kufanya kuchagua kwa mujibu wa ninachotaka? Je nafanya kwa kumpendeza mtu au nafanya ninavohitaji? Sioni mantiki ya kwann watu mnafanya kukurupuka ku comment non sense. I have choices brother.
  6. B

    Toyota rav 4 mpya inauzwa

    Kwa anayehitaj nimeweka namba yangu ya simu mwanzo wa post hii twaweza wasiliana au ni inbox
  7. B

    Toyota rav 4 mpya inauzwa

    Hahahah pengine bwana aspirin swala linalokukwaza ni neno mpya kama lilivyotumika. Lakini kuna concern moja tu katika ununuaj wa magari kwa hapa tanzania huwa tuna terminology za kugawa magari ktk makundi mawili kwa kuzingatia kuwa asilimia 95 ya magari yanayotembea hapa nchini yalinunuliwa...
  8. B

    Natafuta nyumba ya kupanga

    Ni kweli joss ila makongo juu pana shida kubwa sana ya maji ukilinganisha na sehem zingune za mji huu
  9. B

    Toyota rav 4 mpya inauzwa

    Jumaa pengine unapaswa kujua market price ya rav 4. Ziko rav 4 models tatu na zote ni bei tofaut ya kwanza ni 12 to 14 zinaishia mwaka 99 kuanzia hapo ni toleo jingine ambalo ni hili na bei yake ni 25 to 27m afu kuna toleo la 2005 au new model hiyo ni mpaka 60m. Just for update jumaa
  10. B

    Toyota rav 4 mpya inauzwa

    Ni ya mwaka 2002 na bei ni 23m
  11. B

    Toyota rav 4 mpya inauzwa

    Bei ni 23m only no dalali is needed.
  12. B

    Toyota rav 4 mpya inauzwa

    Toyota rav 4 mwaka 2002 km 65000 rangi pale white engine vvti serious customers only call 0768570703/whatsap
  13. B

    Natafuta nyumba ya kupanga

    Kaka mi kazini ni victoria na kwa sasa nakaa kimara so nakimbia foleni maana natumia mda mwing sana barabaran
  14. B

    Natafuta nyumba ya kupanga

    Wadau habari. Natafuta nyumba ya kupanga iwe na vyumba kuanzia viwili au vitatu vya kulala including master. Priority mbezi beach knyama au kawe. Napenda nyumba ambayo ni self apartment na umeme si wa kuchangia. Kwa mwenye msaada plz ni pm
  15. B

    Biashara ya samaki

    Poa kaka kama uko whatsap basi tuwasiliane
Back
Top Bottom