Lakini mpaka mkataba unasainiwa 1987, China, UK, Ufaransa,India na Pakistan pia wote hawa walikua na nuclear tayari ila hawakuhusishwa kwenye makataba. Urusi nae akiomba hawa wengne wahusishwe kwenye mkataba kama US anavotaka China, watakubali..?
Hizi intermediate missiles zina faida zaidi kwa...
Soma tena utanielewa, mkataba umesainiwa 1987,so project zote zilisimama hapo hapo na sio 90s,mkataba hakusema project tu zisimame, mkataba ulisema " hakuna atakae ruhusiwa, kumiliki, kutengeneza au kujaribu aya makombora," kama ulikua nayo basi yote ulitakiwa uyaharibu japokua teknolojia unayo...
Ukiangalia mda ambao US amejitoa kwenye mkataba unaozuia hizi silaha na mpaka leo anafanya nya majaribio ya hizi silaha ni mfupi mno.
Huu mkataba ulizuia kumiliki, kutengeneza au kujaribu makombora yanayosafiri umbali wa 500km mpaka 5000 km. Huu mkataba pia ulitoa maelekezo ya kuangamiza...
Mkuu unajua tofauti ya Nuclear bomb, Atomic bomb na Hdrogen/Thermonuclear bomb..?
Kitu ambacho mimi binafsi hua siwezi ni kumuita mtu muongo au hajui kwa kitu ambacho ata mimi sikijui au sina uhakika nao, wewe hujui na umekua jasiri wa kumuita mwenzio muongo
Hydrogen bombs zimeshatengenezwa na kujaribiwa mara nyingi, US alitest H bomb 1952,Soviet walitest H bomb 1961 na nchi nyinginezo zikafata. Ata zile nuclear alizotest Korea ni H bomb
Nuclear bomb yenye nguvu zaidi iliowah kutengenezwa duniani ni Tsar bomba, na ndio iliojaribiwa mwaka 1961
Waislam mnisahihishe kama nitakua nakosea. Anaeongoza kwa kutetea Wapelestina ni Iran(shia) , na Palestina wengi wao ni Sunni.
Unaposema Shia ndio waleta vurugu sielewi(yawezekana ikawa kweli ukinithibitishia ilo), kabla ya Civil war Syria watu wote walikua na haki sawa bila kujali dini...
Duuu, sasa mkuu kama hawautambui uislam inakuwaje na wenyewe wanaenda kuhiji sasa.?
Mana mimi mwanzo nilichokua nafahamu ni kua, Shia na Sunni ni madhebu tu kwenye uislam kama ilivyo kwa ukristo na madehebu yake kama Wasabato, Roman, Anglican, Morovian n.k
Nadhani mkuu wewe ndio unajua unachoongea, hongera kwa ilo
Kuna mtu atasema negative about Morsi, ukimuuliza sababu hana jibu ila kisa tu yeye ni mkristo na Morsi ni mwislam, mwingine ataongea negative about US/Israel sababu tu yeye ni Mwislam
Huo ndio upumbavu mlionao vijana/wazee kama nyie, kila anaesema kitu ili jukwaa mnamuhusisha na dini. Mnahisi kila alie upande wa Israel/US ni mkristo na kila alie upande wa Syria/Iran ni Muislam
Nini maana ya kuitwa jukwaa la kimataifa na sio jukwaa la dini.? Wajinga kama nyie ndio mnaharibu...
Morsi aliingia madarakani kwa kura halali za wanachi wa Misri na akapinduliwa na Jeshi, unaposema kapata alichokua anakitafuta una maanisha nini.?. Mnatumiaga nini kufikiria.?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.