Recent content by Baazigar

  1. Baazigar

    Melchizedek na utata unaomzunguka

    Kama mkristo, hapa ndio hua naumiza kichwa. Watu kadhaa wenye elimu ya dini wameshindwa kunipa jibu sahihi nikaridhika..!
  2. Baazigar

    Russia, China seek Security Council meeting after US Missile test

    Ue unaandika maelezo ata kidogo kuhusu habari na sio screenshot..! Kwani Urusi katest yake lini ikabuma..?
  3. Baazigar

    Marekani imefanya jaribio la kombora lake la masafa ya kati

    Lakini mpaka mkataba unasainiwa 1987, China, UK, Ufaransa,India na Pakistan pia wote hawa walikua na nuclear tayari ila hawakuhusishwa kwenye makataba. Urusi nae akiomba hawa wengne wahusishwe kwenye mkataba kama US anavotaka China, watakubali..? Hizi intermediate missiles zina faida zaidi kwa...
  4. Baazigar

    Marekani imefanya jaribio la kombora lake la masafa ya kati

    Soma tena utanielewa, mkataba umesainiwa 1987,so project zote zilisimama hapo hapo na sio 90s,mkataba hakusema project tu zisimame, mkataba ulisema " hakuna atakae ruhusiwa, kumiliki, kutengeneza au kujaribu aya makombora," kama ulikua nayo basi yote ulitakiwa uyaharibu japokua teknolojia unayo...
  5. Baazigar

    Marekani imefanya jaribio la kombora lake la masafa ya kati

    Ukiangalia mda ambao US amejitoa kwenye mkataba unaozuia hizi silaha na mpaka leo anafanya nya majaribio ya hizi silaha ni mfupi mno. Huu mkataba ulizuia kumiliki, kutengeneza au kujaribu makombora yanayosafiri umbali wa 500km mpaka 5000 km. Huu mkataba pia ulitoa maelekezo ya kuangamiza...
  6. Baazigar

    Marekani imefanya jaribio la kombora lake la masafa ya kati

    Mkuu unajua tofauti ya Nuclear bomb, Atomic bomb na Hdrogen/Thermonuclear bomb..? Kitu ambacho mimi binafsi hua siwezi ni kumuita mtu muongo au hajui kwa kitu ambacho ata mimi sikijui au sina uhakika nao, wewe hujui na umekua jasiri wa kumuita mwenzio muongo
  7. Baazigar

    Marekani imefanya jaribio la kombora lake la masafa ya kati

    Hydrogen bombs zimeshatengenezwa na kujaribiwa mara nyingi, US alitest H bomb 1952,Soviet walitest H bomb 1961 na nchi nyinginezo zikafata. Ata zile nuclear alizotest Korea ni H bomb Nuclear bomb yenye nguvu zaidi iliowah kutengenezwa duniani ni Tsar bomba, na ndio iliojaribiwa mwaka 1961
  8. Baazigar

    Ni wimbo gani unaoutafuta sana bila mafanikio?

    Shukrani kwa wote mliweka audio humu
  9. Baazigar

    Wayemen waushambulia tena uwanja wa ndege wa kimataifa wa Saudia; mara hii watumia drone tano

    Waislam mnisahihishe kama nitakua nakosea. Anaeongoza kwa kutetea Wapelestina ni Iran(shia) , na Palestina wengi wao ni Sunni. Unaposema Shia ndio waleta vurugu sielewi(yawezekana ikawa kweli ukinithibitishia ilo), kabla ya Civil war Syria watu wote walikua na haki sawa bila kujali dini...
  10. Baazigar

    Wayemen waushambulia tena uwanja wa ndege wa kimataifa wa Saudia; mara hii watumia drone tano

    Duuu, sasa mkuu kama hawautambui uislam inakuwaje na wenyewe wanaenda kuhiji sasa.? Mana mimi mwanzo nilichokua nafahamu ni kua, Shia na Sunni ni madhebu tu kwenye uislam kama ilivyo kwa ukristo na madehebu yake kama Wasabato, Roman, Anglican, Morovian n.k
  11. Baazigar

    Tanzia: Aliyekuwa Rais wa Misri, Mohamedi Morsi amefariki dunia akiwa Mahakamani

    Nadhani mkuu wewe ndio unajua unachoongea, hongera kwa ilo Kuna mtu atasema negative about Morsi, ukimuuliza sababu hana jibu ila kisa tu yeye ni mkristo na Morsi ni mwislam, mwingine ataongea negative about US/Israel sababu tu yeye ni Mwislam
  12. Baazigar

    Tanzia: Aliyekuwa Rais wa Misri, Mohamedi Morsi amefariki dunia akiwa Mahakamani

    Huo ndio upumbavu mlionao vijana/wazee kama nyie, kila anaesema kitu ili jukwaa mnamuhusisha na dini. Mnahisi kila alie upande wa Israel/US ni mkristo na kila alie upande wa Syria/Iran ni Muislam Nini maana ya kuitwa jukwaa la kimataifa na sio jukwaa la dini.? Wajinga kama nyie ndio mnaharibu...
  13. Baazigar

    Tanzia: Aliyekuwa Rais wa Misri, Mohamedi Morsi amefariki dunia akiwa Mahakamani

    Na mimi malengo ya muslim Brotherhood siyajui pia
  14. Baazigar

    Tanzia: Aliyekuwa Rais wa Misri, Mohamedi Morsi amefariki dunia akiwa Mahakamani

    Malengo na itikadi za Saudi Arabia au US unayajua.? Ukijibu ilo swali utakua ushajijibu swali lako
  15. Baazigar

    Tanzia: Aliyekuwa Rais wa Misri, Mohamedi Morsi amefariki dunia akiwa Mahakamani

    Morsi aliingia madarakani kwa kura halali za wanachi wa Misri na akapinduliwa na Jeshi, unaposema kapata alichokua anakitafuta una maanisha nini.?. Mnatumiaga nini kufikiria.?
Back
Top Bottom