Mabadiliko ya Hali ya hewa yanayotokana na athari za kimazingira yanayosababishwa na shughuli za kibinadamu.
Shughuli hizo zinaathiri sana Hali ya hewa na kusababisha mvua kubwa kunyesha baadhi ya maeneo na maeneo Mengine kubaki makavu kabsaa
Hivyo Elimu ya dharura inahitajika kuondoka na...
Hauko serious na unacho kiandika,,,,WhatsApp yupo online,,,nikimtumia SMS hajibu,,kwenye magroup anajibu SMS za watu,,Chakunifanya niende kwake zaidi ya kilometer 400 ili nikaombe urafiki au ,,,!!!???
Habara wana JF, hope mpo poa.
Ilikuwa mwaka 2016 rafiki yangu anaefanya kazi Jiji la Dodoma wilaya ya Kongwa alinitumia card ya harusi akiniomba kumpa support kwenye harusi yake kama ilivyo desturi ya Waungwana nilimsaidia huo mchango na kufanikisha hiyo harusi.
Miaka miwili mbele yaani 2018...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.