Recent content by Ba Oasis

  1. B

    CHADEMA wajiondoa kugombea ubunge - EALA

    Kuna thread ya Tuntemeke na habar zake za ukanda na mikakat ya Mbowe na wabunge wa CCM kuungana..pamoja na ugeni wangu humu lakin wanafiki sura zao naanza kuziona. Safi sana CDM..MCC walijiandaa na mbinu zao za kizamaniii;wanaoafiki waseme ndio...(Jitu linakurupuka usingizin)ndiooo,wasioafiki...
  2. B

    Waraka wa Prof. Mark Mwandosya, kuhusu Demokrasia

    Kimsingi anachosema mwandosya si kipya na kwamba wana CCM hawakijui.CCM kama chama kina misingi mizur ambayo kama ikisimamiwa chama hakina matatizo .Tatizo kuna kizazi kimekatiza katika miaka kumi na nane ya karibun kimeleta yoote haya tunayo yaona. wamejitoa akili na kufumbia macho kwa makusud...
  3. B

    Watangazaji Mmetuangusha sana!!

    mtangazaj wao anaeanzia USA kuelekea kikatiti anaambiwa msimamiz kasema wanaeza tangaza kesho anajibu;"itakua vizur wakitangaza kesho". What d hell?
  4. B

    Kuanguka vibaya kwa CCM Arumeru, upepo kubadilika?

    Naogopa kuanza kushangilia
  5. B

    Shambulio la wabunge na TBC1 reporting

    TBC ni ya wale wale..mitambo yenyewe imenunuliwa kwa style zilezile za rada,ndege ya rais etc. Wafanyakaz nao wanaharufu ile ile iliozoeleka..wake chonjo 2015 wote wanapoteza ajira. V
  6. B

    CHADEMA yaibwaga CCM Arumeru Mashariki; CCM Yakubali kushindwa (Zaidi ya kura 6,000)

    T gotta b true..sipend kucherish ndoto hewa. Pls comfirm MM.
  7. B

    Hellow

    Habar wadau. Nimeingia humu nikiamini kua wenyeji wote ni wazalendo wanaoipenda Tanzania na wako tayar kwa lolote ikiwa ni la lazima kuhakikisha nchi yetu inaenda sawa. Shida zinazotokana na kudidimia kwa hali ya maisha yetu ukilinganisha na rasilimali za nchi zinatakiwa ziwe kiuongo kwetu kama...
Back
Top Bottom