Big up deo kwa ulaji huo hata mm nawaambia ukweli ingekuwa kuna visenti vya mmem vya kutosha ningenunua hadi gari tatizo vipo kidogo eti laki moja kwa robo mwaka, hata mtoa post akipewa ofis atakula tena zaid y Mr DEO
Kumekuwa na tetesi kuwa kuanzia mwaka 2015 serikali itatoa posho ya madaraka allowance kwa walimu wakuu, wakuu wa shule na waratibu elimu kata endapo watakuwa na elimu stahiki.
Yaani Mwl. Mkuu awe na Stashahada ya elimu huku MEK na Wakuu waa shule za Sekondari wakitakiwa wawe na Shahada. Mwenye...
AFADHALI WEWE MR. VENTURE KULIKO PAPTRIOT ANAETUKANA, ORDINARY DIPLOMA IN PRIMARY EDN NA DIPLOMA IN SEC EDN ZITATOLEWA KTK VYUO KWA ORDINARY DIP NI VILE VYUO VILIVYOKUA VIKITOA CERTIFICATE IN TEACHING [GRADE A] NA DSE ZITATOLEWA KTK VYUO VILE VILE VILIVYOKUA VIKITOA DIPLOMA. BINAFSI MI...
AHSANTE KWA KUTUITA MABWEGE, ILA SIKUSHNGAI MAANA UELEWA WAKO NDO UMEISHIA HAPO KAMA UNATAKA MATUSI NENDA FB SIO HUKU, HUKU TUNAKAA SISI WATU NA ELIMU ZETU, HPA TUNAONGEA KWA HOJA SIO MATUSI...
wadau tofautisheni kama ni form four atasoma ordinary diploma in primary education na kama ni form six atasoma diploma in secondary education!!!!! Nafikiri nimeliza ubishi
ukioa askari au nesi ujue sio mkeo [U][]hayo unayajua wewe mbona hata mama wa nyumbani tunajipigia bilaa shida tena mchana mchana kweupe?????????????????????????????/
Wadau nipo SERENGETI MARA anaetaka kuja huku akitokea Nzega, Sengerema au Mwanza jiji anijulishe kupitia 0688819660 au 0754623199 au zachariamagige@gmail.com kama anatokea Mwanza Jiji atapata jiko dogo laa gesi kitanda na godoro la futi 5/6
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.