Duh ,,ukiwasikia wanvyokuhakikishia unaweka Imani ILA soo stupid!.. walopanda sizani hata wanafika 50% make kila unamuliza ni kilio, tumeambulia kupewa barua,,,make wanaanza kutengeneza madeni tena
Idara ya Elimu wamepanda walio ajiliwa 2014 pekee,, wengine hakuna kitu!.. na kwa Sisi wilaya yetu wote 2014 na 2015 tulipewa barua ya kupanda daraja, na ikielekeza itakua effective from 01.06.2021
Niambie before Kua " honey ntakuaja na friends kadhaa will it be ok!.. sio gafla unaniibukia na timu ya mpira'' hata faragha tunakosa hatuwezi enjoy tuzungumza,, MDA wote mnaongea issue zenu za saloon!.. no way!.. guys kama tulivyokubaliana wakija wengi zaidi ya wawili unawamwaga !..
Sio lazima umwambie nakupenda !.. show vitendo ,,,like unampa Ka story funny afu akicheka unampiga kikofi flani hiv ,,shavuniii ,,,pajani au takoni depending na position,,,,pia Kiss her shavuni mkononii regurary,, ndioo goo ahead mpage ma Hug,, mkitembea hold her hand,,,IPO siku utajikuta...
Akili za kuambiwa na kukalili,, wee endelea kukulia kwa shemeji huku ukiwaponda walimu;, infact hao watumishi 1000, ni Sawa na walimu wa wilaya moja Tu, TENA idara ya Msingi!.. leav us alone you bloodbasket,,,,,,
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.