1. Al-Ahad (Sunday) – The First
2. Al-Ithnayn (Monday) – The Second
3. Ath-Thulatha (Tuesday) – The Third
4. Al-Arbi'a (Wednesday) – The Fourth
5. Al-Khamis (Thursday) – The Fifth
6. Al-Jum'a (Friday) – The Gathering (refers to the day of congregation/prayer)
7. As-Sabt (Saturday) – The Sabbath...
Swahili weekdays mostly follow a logical numeric pattern combined with the word ‘juma’ ( nadhani inamaana wiki au siku),
Jumamosi = first day
Jumapili = second day
Jumatatu = third day
Jumanne = fourth day
Jumatano = fifth day
If the pattern was followed strictly, the sixth day should be...
Kwa nje hili dirisha ni kama kioo kabisa hivyo ndege akipita anajiona, sasa wengine wanakingonga kama wanapambana na dege mwe1nginee, wameweka mikwaruzo mingi nahofia wataweka na cracks. Pia ni kero ukiwa karibu, nalitatua vipi
Habari,
Nyumba imeezekwa takriban mwaka sasa, bati Gauge 28 ya Alaf, Tatizo ni kelele za bati pindi jua libapowaka na usiku likipoa ( thermal expansion noise). Nashindwa kuelewa, tatizo ni fundi au material ya bati lenyewe au ndo jua ni kali?
Nini naweza kufanya?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.