Recent content by b yaoman

  1. B

    Usafiri wa mbuzi kutoka mnadani kwenda Dar

    Natarajia kubeba mbuzi 30
  2. B

    Usafiri wa mbuzi kutoka mnadani kwenda Dar

    Habari za majukumu wakuu Naomba kufahamu usafiri wa kusafirisha mbuzi kutoka minada hii simiyu ...kondoa ....na kilosa je nitapata ya jumuia au itanilazimu kuwa na usafiri binafsi?
  3. B

    Bucha la nyama ya mbuzi vs bucha la nyama ya kuku wa kienyeji

    Habari wakuu Naomba uzoefu...Niko na mawazo haya mawili bucha la nyama ya mbuzi au bucha la nyama ya kuku wa kienyeji biashara ipi italipa location ni dar
  4. B

    Mahali wanakopatikana mbuzi kwa wingi

    Kwenu wapi boss
  5. B

    Naomba kufahamu Kiwanda cha mifuko rejea

    Nachotaka kuahamu anakoipata namimi nikanunue uko uko
  6. B

    Naomba kufahamu Kiwanda cha mifuko rejea

    We mzee iko kipact kimoja 1200? Wakati mtaani iwanauza 1100 apa da Uko mkoa gani
  7. B

    Naomba kufahamu Kiwanda cha mifuko rejea

    We mzee iko kipact kimoja 1200? Wakati mtaani iwanauza 1100 apa dar
  8. B

    Naomba kufahamu Kiwanda cha mifuko rejea

    Habari za muda huu wakuu...naomba kufahamu kiwanda au mahali nitakapo pata mifuko hii ikiwa kiwandani kilipoa jumla nahitaji mingi sana ikiwekana nifamu na bei zake
Back
Top Bottom