"Ajira za ualimu mwisho mwaka huu, labda wa sayansi"...Naam, ni uvumi ambao umeenea sana katika maeneo mbalimbali hasa vyuoni na kwenye social media mbalimbali. Ni nyepesi nyepesi ambazo sio tu zinaathiri saikolojia ya vijana wetu walioko vyuoni lakini pia watoto wa wakulima ambao kwa muda mrefu...
Karibu xana nachingwea ndugu yangu,mimi ni mzaliwa na mkazi wa pale ila xaxa nipo mtwara /saut ,kama hutojali nicheki kwa 0653165750 kwa msaada wowote ikiwemo watu wa kukupokea stendi
Ni kijana mtanzania mwenye umri wa miaka 26 ambaye natarajia kuhitimu shahada ya elimu katika chuo cha Saut mwez ujao. Ningependa kuomba nafasi ya kufundisha masomo tajwa hapo juu katika shule yeyote iliyoko Tanzania mara tu baada ya kuhitimu masomo yaani (from july). Ahsanten...
Ana ngoma inaitwa 'Umebadilika' amemshirikisha banana zoro, lakini jana nimesikia ngoma nyingine inaitwa '13' alowashirikisha fid q na belle9.
Kama kweli hii ngoma ni mpya, mbona interval baina ya ngoma moja na nyingine ni ndogo?
au hii ina maana gani kibiashara? Najua wapo wenye ujuz wa...
Ni wilaya inayopatikana katika mkoa wa lindi ambayo kwa sasa inaongozwa na mbunge mh. Mathias Chikawe,wazir wa katiba na sheria katika serikaali yetu tukufu ya awamu ya nne iliyoko chini ya Prof.Kikwete.Kinachonisikitisha ni kwamba hali ya kiuchumi katika wilaya hii ni ngumu mno,hakuna masoko...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.