Wadau habari za majukumu! naombeni mnisaidie mahali ambao lipo soko la uhakika la zao la mahindi Tanzania nisaidieni Nina magunia kama 500,na ikiwezekana nisaidieni taarifa mabali mbali toka huko mnakokaa Mimi Niko mkoa wa manyara wilaya ya mbulu.tafadhali sana katika hili na subiria mchango...
Mh. Rais chonde chonde mwiguli asiwe waziri wa mambo ya ndani maana huyo jamaa ni zaidi ya al kaida,kama vipi apewe wizara nyingine kama kuna umuhimu wa yeye kuwa waziri,hapo kwenye mambo ya ndani huyu mtu hatufai hata kidogo ni zaidi ya mzigo na jangu kama majanga mengine kwa Taifa.
Imekuwa muda mrefu sana ccm ikiwa inatabiri anguko la chadema kabla ya 2015 hali sivyo wa dhanivyo wa wana chama wa ccm,ukweli ni kuwa chadema iko juu kinyume na wadhanivyo ccm na washabiki wao,hii ndiyo sababu wale wa lumumba wanaumiza vichwa kwani hawafanikiwa kwa kazi wanazotumwa na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.