Recent content by B A

  1. B

    Soko la mahindi

    wadau nawashukuruni hadi hapa tulipofikia,naendekea kukaribisha mawazo zaidi.
  2. B

    Soko la mahindi

    Wadau habari za majukumu! naombeni mnisaidie mahali ambao lipo soko la uhakika la zao la mahindi Tanzania nisaidieni Nina magunia kama 500,na ikiwezekana nisaidieni taarifa mabali mbali toka huko mnakokaa Mimi Niko mkoa wa manyara wilaya ya mbulu.tafadhali sana katika hili na subiria mchango...
  3. B

    ITV na Gwanda la CHADEMA.

    umeongapa mtangazaji hakuvaa khaki pamoja na kuwa naikubali chadema asimia zote.
  4. B

    Dr. Slaa: Tunahitaji mwaka mmoja tu kuigeuza Tanzania kuwa nchi ya viwanda

    whatsoever name you gonna call our lovely dr.but sisi tunachanja mbuga
  5. B

    JK kutangaza baraza la Mawaziri kesho

    Mh. Rais chonde chonde mwiguli asiwe waziri wa mambo ya ndani maana huyo jamaa ni zaidi ya al kaida,kama vipi apewe wizara nyingine kama kuna umuhimu wa yeye kuwa waziri,hapo kwenye mambo ya ndani huyu mtu hatufai hata kidogo ni zaidi ya mzigo na jangu kama majanga mengine kwa Taifa.
  6. B

    Madam SPIKA: Ningekuwa na uwezo ningependekeza Mwingine afe badala ya Mh. Mgimwa

    unaonaje mapendekezo hayo kama yagewezekana ww ungekuwa wakwenda badala ya hao uliowataja.
  7. B

    Hadithi ya kusisimua- Mimba ya Jini

    shit! Imeishia hapa dahh.
  8. B

    Hadithi ya kusisimua- Mimba ya Jini

    nami pia nakupa LIKE kubwa mkuu!
  9. B

    Ni kiongozi gani wa kisiasa ana hotuba kali za kumbadilisha mtu?

    bila kuzingatia ushabiki wa kisiasa Mbowe Freeman ni jembe kwa hili.
  10. B

    Nani mwanasiasa bora wa mwaka 2013?

    Dr slaa
  11. B

    Viongozi wapya wa CHADEMA 2014-2019

    safi sana! idea nzuri,ikitokea hivi basi dhana ya uchaga na ukanda imekwisha ondolewa..
  12. B

    Takwimu: Piga kura ya ndio au hapana juu ya hatma ya zitto chadema hapa.

    leteni nyuzi zenye tija,haya waachieni wavidole juu.
  13. B

    Zitto na Kitila wavuliwa vyeo vyote ndani ya CHADEMA

    Imekuwa muda mrefu sana ccm ikiwa inatabiri anguko la chadema kabla ya 2015 hali sivyo wa dhanivyo wa wana chama wa ccm,ukweli ni kuwa chadema iko juu kinyume na wadhanivyo ccm na washabiki wao,hii ndiyo sababu wale wa lumumba wanaumiza vichwa kwani hawafanikiwa kwa kazi wanazotumwa na...
Back
Top Bottom