Recent content by azyzy omary

  1. azyzy omary

    JamiiForums Tanzania Nina tatizo la Moyo kwenda mbio baada ya kula

    Hili tatizo ninalo pia Vipi mkuu umepona utupe namna ya kuondokana na hii hali baada ya kula hivi vyakula, inakera sana
  2. azyzy omary

    JamiiForums Tanzania Nguvu ya kufunga

    Mkuu unauzoefu nalo hili unifungue kidogo
  3. azyzy omary

    JamiiForums Tanzania Nguvu ya kufunga

    Mkuu tunalifanikishaje hili hatua kwa hatua adi kufikia mafanikio ya kuwianisha roho, nafsi na mwili ili niwe najisikiliza zaidi kutokea ndani yangu na sio nje?
  4. azyzy omary

    JamiiForums Tanzania Msaada: Dawa ya nyama za pua

    Msaada basi kaka kwenye hili
  5. azyzy omary

    JamiiForums Tanzania Msaada: Dawa ya nyama za pua

    Shukrani sana Tatizo lina kama mwaka sahivi Matibabu bado sijapata tiba serious zaidi ya dawa za hospital ambazo hazijanisaidia wananishauri tu nifanyiwe upasuaji Dawa za kienyeji bado sijapata dawa inayoeleweka Vipi mkuu una utambuzi na hili ?
  6. azyzy omary

    JamiiForums Tanzania Msaada: Dawa ya nyama za pua

    Daah jf hili tatizo hakuna mwenye majibu yanayoeleweka afu nami linanisumbua kwasasa ni shida asee
  7. azyzy omary

    JamiiForums Tanzania Fahamu matokeo ya meditation

    Sawa mkuu wacha tusubiri
  8. azyzy omary

    JamiiForums Tanzania Fahamu matokeo ya meditation

    Mkuu muendelezo wa hapa tuletee kama inawezekana lakin
  9. azyzy omary

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Siku 180 za “NoFAP” Challenge. Vitu vikubwa na muhimu nilivyojifunza

    Mkuu habari yako Vipi maendeleo yako 👉 hujarudi tena nyuma kwenye uliyokayaacha kufikia sasa??
  10. azyzy omary

    JamiiForums Tanzania Fahamu matokeo ya meditation

    Mimi nikijaribu kufanya Meditation akili inagoma kutulia kabisa adi nashindwa kuona chochote 👉 msaada nifanyaje ili akili itulie sehemu moja ?
  11. azyzy omary

    JamiiForums Tanzania Wengi hawajui siri zilizopo ndani ya vitabu hivi vya dini, yaani Biblia, Quran na Tanakh

    Sahihi kabisa ebu tudokeze kidogo hayo mafumbo na maana zake
  12. azyzy omary

    JamiiForums Tanzania Kitabu cha Adam na Hawa

    Mkuu tunasubiri madini uzidi kushusha
  13. azyzy omary

    JamiiForums Tanzania Kitabu cha Adam na Hawa

    Nielekeze kaka kutranslate hivo kitabu kizima
  14. azyzy omary

    JamiiForums Tanzania Kitabu cha Adam na Hawa

    Mkuu hivi unawezaje kutranslate hata kitabu kizima kutoka English kisha ukakisevu kwenye simu yako moja kwa moja kikiwa cha Kiswahili
  15. azyzy omary

    JamiiForums Tanzania Kitabu cha Adam na Hawa

    Naam safi sana tuwekee kwa Kiswahili hivohivo kwa faida ya wengi kaka
Back
Top Bottom