Recent content by Azizi Mussa

  1. Azizi Mussa

    JamiiForums Tanzania KERO Serikali inaleta Ushindani kwa wazalishaji wa Ndani wa Avocado Oil dhidi ya madalali kutoka Kenya

    Mleta mda uchambuzi wako ni wa juu juu sana hueleweki vizuri. Shida hapa ni nini? Viwanda vya ndani vimekosa parachichi kwa sababu zimeuzwa kwenya? Bei ja parachichi imepanda maana kenya wananunua kwa bei kubwa? Madalali wa kenya wanachuma parachichi na kuzuia wazawa wasichume? Au ishu ni nini...
  2. Azizi Mussa

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nimeambiwa mahari Millioni 18. Sina Pesa hiyo na nataka kuoa, nifanyeje?

    Mkuu fanya hivi: Kwenye hiyo M2 tenga Laki 2 ( tu) ya mahari. Waambie hiyo Laki2 ndio utatoa kwa ajili ya chai kwenye vikao vya ndoa na siku ya ndoa pia. Wakisema haitoshi, waambie viungo vya chai unaweza kuwachukulia kutoka same ukawaletea ( kwa mfano tangawizi mbichi) Wakikataa funga mlango...
  3. Azizi Mussa

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Sajili mali kwa jina la mama au ndugu yako anaejitambua, hutapatwa na stress yoyote kuhusu mgawanyo wa mali na mwenzako mliekutana mkiwa na meno 32

    Kuwa na wake wengi halafu hakikisha wote wanafahamiana. So mali zinakuwa complicated hazigawanyiki, mmoja akitaka mgawane unamuunganisha na wenzake wajadiliane, muda huo wewe unachezea simu na kuaangalia vichekesho mtandaoni.
  4. Azizi Mussa

    JamiiForums Tanzania Nunua apartments zetu hizi kabla bei hazijapanda bei

    Mtu akitaka zote mnamuuzia kwa bei gani? ( Bei ya jumla)
  5. Azizi Mussa

    JamiiForums Tanzania Shamba linauzwa wilaya ya Handeni mkoa wa Tanga

    Mkuu ni umbali gani toka wilayani? Barabara zinafika shambani? Maji yako umbali gani? Maeneo hayo wanalima nini zaidi?
  6. Azizi Mussa

    JamiiForums Tanzania Wahitimu wa Vyuo wanahitaji Msaada

    Ni kweli kabisa. Ila pia kati 10 kama 9 hawaajiriki kwenye sekta binafsi. Nilipambana ili angalau niajiri 10 nisaidie kuongeza ajira, nikaanzisha ka chimbo, nikaajiri 10 wakanifilisi kwa wizi na uzembe. Nikafunga, wote wakarudi mtaani kuendelea na zoezi la kutafuta kazi.
  7. Azizi Mussa

    JamiiForums Tanzania Kwanini (Matangazo ya kulipia) Paid Ads Ni Muhimu kwa Biashara Yako?

    Umeandika jambo la maana
  8. Azizi Mussa

    JamiiForums Tanzania Nawezaje kujinasua kwenye huu mtego?

    Kwa hiyo unataka tukufundishe namna ya kukwepa deni ambalo unekopa???
  9. Azizi Mussa

    JamiiForums Tanzania Wazee wa madini hii ni ruby au?

    Unaweza kupata kama laki
  10. Azizi Mussa

    JamiiForums Tanzania Nyasi za Juncao: Suluhusho la malisho ya ng'ombe, mbuzi na kondoo

    Unapatikana wapi mkuu?
  11. Azizi Mussa

    JamiiForums Tanzania Mnaojua masoko ya mbao kwa jumla

    Tangazo lako tu lilivyokaa ni sababu tosha ya kutouza. Tangazo halisemi mbao ni saizi gani? Unauza bei gani? Wewe ni mfanya biashara wa mbao au umezipata wapi na vitu maelezo mengine ya msingi na bado unashangaa kwa nini huuzi. Hili ni tatizo la wabongo wengi wanauza vitu kama vile...
  12. Azizi Mussa

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nisaidieni, Hili husiano likivunjika sitaki kuanzisha husiano jengine!

    Kwa mara ya kwanza kabisa akili mnemba imeingia kwenye mahusiano. Tatizo la akili mnemba hutatuliwa ki-mnemba
  13. Azizi Mussa

    JamiiForums Tanzania Nataka kufuga nyuki kisasa

    Mkuu mimi nilianza kufuga nyuki kwa mizinga 20 mwaka 2020. Somo kubwa nililojifunza nyuki hawapatani kabisa na wadudu, hivyo ibabidi angalau kila mwezi ukague mizinga na kusafisha wadudu angalau mara 2 vingunevyo nyuki hawaingii au hukimbia. Ila sasa niko busy sana sipati muda wa kutosha...
  14. Azizi Mussa

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nataka kuolewa, ila nataka nieendelee na uhuru wangu

    Masikini mchumba wako. Dah! Ni huruma sana kwake.
Back
Top Bottom