Kuwa na wake wengi halafu hakikisha wote wanafahamiana. So mali zinakuwa complicated hazigawanyiki, mmoja akitaka mgawane unamuunganisha na wenzake wajadiliane, muda huo wewe unachezea simu na kuaangalia vichekesho mtandaoni.
Ni kweli kabisa. Ila pia kati 10 kama 9 hawaajiriki kwenye sekta binafsi. Nilipambana ili angalau niajiri 10 nisaidie kuongeza ajira, nikaanzisha ka chimbo, nikaajiri 10 wakanifilisi kwa wizi na uzembe. Nikafunga, wote wakarudi mtaani kuendelea na zoezi la kutafuta kazi.
Tangazo lako tu lilivyokaa ni sababu tosha ya kutouza.
Tangazo halisemi mbao ni saizi gani? Unauza bei gani? Wewe ni mfanya biashara wa mbao au umezipata wapi na vitu maelezo mengine ya msingi na bado unashangaa kwa nini huuzi.
Hili ni tatizo la wabongo wengi wanauza vitu kama vile...
Mkuu mimi nilianza kufuga nyuki kwa mizinga 20 mwaka 2020. Somo kubwa nililojifunza nyuki hawapatani kabisa na wadudu, hivyo ibabidi angalau kila mwezi ukague mizinga na kusafisha wadudu angalau mara 2 vingunevyo nyuki hawaingii au hukimbia. Ila sasa niko busy sana sipati muda wa kutosha...
Nilitumia laki 3 (Kila kitu humo humo). Nilijiandaa kwa muda wa masaa sita, wote walioshiriki walikula kuku. Chenchi ilibaki kidogo tukaanzia maisha. Kwa upande wa chakula nilipenda kachumbari, ilikuwa tamu sana.
Kuna watu hawaridhiki hata uwafanyie nini. Kwenye hii dunia (kwa maoni yangu) jambo la kujiepusha nalo ni dhuluma tu.Jitahidi usidulu haki ya mtu mwingine au kudhuru mwingine, baada ya hapo fanya kinachokufurahisha. Anayetaka kwenda na wewe sawa, asietaka sawa.
Duniani kuna makundi kadhaa ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.