Recent content by Azizi Mussa

  1. Azizi Mussa

    DOKEZO Wenye Hospitali binafsi wakataa kuwahudumia wateja wa NHIF kutokana na vifurushi vipya

    Mimi ni moja ya watu ambao wame experience vitu vya kushangaza sana nilipokuwa mwanachama wa NHIF ( kupata huduma hafifu) na baadae nikawa mtoa huduma ( nikihudumia wateja wa NHIF) kila nikitumia wastani wa Milioni 1 kuhudumia wateja wao, jamaa wananilipa wastani wa laki 4 hivyo nakuwa...
  2. Azizi Mussa

    Nataka nianzishe Clinic

    Jambo la kwanza ni kuwa unatakiwa uwe serious. Mfano hapa unasema unataka uanzishe clinic, haieleweki ni herbal clinic, phone clinic, massage clinic, au ni clinic ya nini na unatarajia watu wakupe ushauri wa maana.
  3. Azizi Mussa

    Kampuni, Zahanati na Vifaa vyake vinauzwa Dar. Sh. Milioni 122

    Njia ya kutoka segerea kwenda bonyokwa
  4. Azizi Mussa

    Kampuni, Zahanati na Vifaa vyake vinauzwa Dar. Sh. Milioni 122

    Mkuu umeona ilivyo safi ukadhani iko ndani ya ndege hahaahaha. Sawa mkuu shukuran
  5. Azizi Mussa

    Kampuni, Zahanati na Vifaa vyake vinauzwa Dar. Sh. Milioni 122

    Ni zahanati/ dispensary yenye vifaa na mifumo ya kisasa.
  6. Azizi Mussa

    Kampuni, Zahanati na Vifaa vyake vinauzwa Dar. Sh. Milioni 122

    Wakuu hii bado ipo. Any potential buyer who is willing to invest in this sector is welcomed
  7. Azizi Mussa

    Vacancies announcement: Clinical officer and Clinical Assistant

    'Peking Healthcare’ A newly growing company located in Ilala -Dar es salaam which offers a quality health service is looking for competent candidates to join the team at one of her dispensaries located in Ilala -Dar es salaam. Currently there are two (02) vacancies to be filled. If you fill like...
  8. Azizi Mussa

    Kampuni, Zahanati na Vifaa vyake vinauzwa Dar. Sh. Milioni 122

    Kampuni imeongezewa thamani na sasa bima zinafanya kazi na hivyo sasa bei imepanda kidogo hadi M.150. Kama kuna mtu yuko interested na health industry anakaribishwa. Ni vizuri awe na taaluma au uzoefu kwenye eneo hili
  9. Azizi Mussa

    Natafuta mchongo wa Medical Doctor (MD)

    Mkuu, nilikupa kazi unayoomba huku, kabla hata ya kuanza kazi yenyewe ukaingia mitini. Sasa umerudi kuomba kazi tena? Ujue utaratibu wa hivi husababisha watu wenye shida serious wasisaidiwe kwa hofu kuwa hakuna userious. Usiombe kitu kama hauko serious na unachoomba maana unawaharibia na...
  10. Azizi Mussa

    Naomba kufahamu changamoto na mafanikio ya biashara ya maabara!

    Mimi sina uzoefu na maabara. Nina uzoefu na dispensary maabara ikiwa ndani yake. Changamoto kubwa ni kama ifuatavyo 1. Wafanyakazi. Kupata wafanyakazi competent, kulipa mishahara, na wasiwe wanakuibia ni ishu kubwa. Aidha, kutoa huduma bora ili watu washawishike na huduma yako ni changamoto...
  11. Azizi Mussa

    Zuio la usajili wa Polyclinics (Kliniki za Kibingwa) mpya katika mfuko wa bima (NHIF): Waziri Ummy Mwalimu atoe majibu

    Hazitambui taaluma nyingine kivipi? Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
  12. Azizi Mussa

    Kampuni, Zahanati na Vifaa vyake vinauzwa Dar. Sh. Milioni 122

    Wakuu, kama kuna mtu ambaye yuko interested kuwekeza kwenye sekta ya Afya Dar es salaam, na ana uzoefu kwenye eneo hilo; Kampuni, zahanati na vifaa complete vinauzwa jumla M. 122. Mahali; Dar Thamani ya vifaa; zaidi ya 80 M Hali ya Biashara: inafanya kazi vizuri na inahudumia wastani wa watu...
  13. Azizi Mussa

    Hatua za kufuata kufungua Zahanati

    Mimi nina kampuni na zahanati. Mtu ambaye yuko interested kuwekeza kwenye eneo hili tuwasiliane tuongee Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
  14. Azizi Mussa

    Nafasi ya Kazi: Assistant Nursing Officer

    Peking Healthcare limited; a newly growing company located in Ilala -Dar es salaam which offers high level quality health services is looking for competent candidates to join the team at one of her dispensaries located in Ilala -Dar es salaam. Currently there are two (02) vacancies to be filled...
Back
Top Bottom