Mimi ni moja ya watu ambao wame experience vitu vya kushangaza sana nilipokuwa mwanachama wa NHIF ( kupata huduma hafifu) na baadae nikawa mtoa huduma ( nikihudumia wateja wa NHIF) kila nikitumia wastani wa Milioni 1 kuhudumia wateja wao, jamaa wananilipa wastani wa laki 4 hivyo nakuwa...
Jambo la kwanza ni kuwa unatakiwa uwe serious.
Mfano hapa unasema unataka uanzishe clinic, haieleweki ni herbal clinic, phone clinic, massage clinic, au ni clinic ya nini na unatarajia watu wakupe ushauri wa maana.
'Peking Healthcare’ A newly growing company located in Ilala -Dar es salaam which offers a quality health service is looking for competent candidates to join the team at one of her dispensaries located in Ilala -Dar es salaam. Currently there are two (02) vacancies to be filled. If you fill like...
Kampuni imeongezewa thamani na sasa bima zinafanya kazi na hivyo sasa bei imepanda kidogo hadi M.150.
Kama kuna mtu yuko interested na health industry anakaribishwa.
Ni vizuri awe na taaluma au uzoefu kwenye eneo hili
Mkuu, nilikupa kazi unayoomba huku, kabla hata ya kuanza kazi yenyewe ukaingia mitini. Sasa umerudi kuomba kazi tena?
Ujue utaratibu wa hivi husababisha watu wenye shida serious wasisaidiwe kwa hofu kuwa hakuna userious. Usiombe kitu kama hauko serious na unachoomba maana unawaharibia na...
Mimi sina uzoefu na maabara. Nina uzoefu na dispensary maabara ikiwa ndani yake.
Changamoto kubwa ni kama ifuatavyo
1. Wafanyakazi. Kupata wafanyakazi competent, kulipa mishahara, na wasiwe wanakuibia ni ishu kubwa. Aidha, kutoa huduma bora ili watu washawishike na huduma yako ni changamoto...
Wakuu,
kama kuna mtu ambaye yuko interested kuwekeza kwenye sekta ya Afya Dar es salaam, na ana uzoefu kwenye eneo hilo; Kampuni, zahanati na vifaa complete vinauzwa jumla M. 122.
Mahali; Dar
Thamani ya vifaa; zaidi ya 80 M
Hali ya Biashara: inafanya kazi vizuri na inahudumia wastani wa watu...
Mimi nina kampuni na zahanati. Mtu ambaye yuko interested kuwekeza kwenye eneo hili tuwasiliane tuongee
Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
Peking Healthcare limited; a newly growing company located in Ilala -Dar es salaam which offers high level quality health services is looking for competent candidates to join the team at one of her dispensaries located in Ilala -Dar es salaam. Currently there are two (02) vacancies to be filled...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.