Recent content by Azizi Mussa

  1. Azizi Mussa

    Sajili mali kwa jina la mama au ndugu yako anaejitambua, hutapatwa na stress yoyote kuhusu mgawanyo wa mali na mwenzako mliekutana mkiwa na meno 32

    Kuwa na wake wengi halafu hakikisha wote wanafahamiana. So mali zinakuwa complicated hazigawanyiki, mmoja akitaka mgawane unamuunganisha na wenzake wajadiliane, muda huo wewe unachezea simu na kuaangalia vichekesho mtandaoni.
  2. Azizi Mussa

    Nunua apartments zetu hizi kabla bei hazijapanda bei

    Mtu akitaka zote mnamuuzia kwa bei gani? ( Bei ya jumla)
  3. Azizi Mussa

    Shamba linauzwa wilaya ya Handeni mkoa wa Tanga

    Mkuu ni umbali gani toka wilayani? Barabara zinafika shambani? Maji yako umbali gani? Maeneo hayo wanalima nini zaidi?
  4. Azizi Mussa

    Wahitimu wa Vyuo wanahitaji Msaada

    Ni kweli kabisa. Ila pia kati 10 kama 9 hawaajiriki kwenye sekta binafsi. Nilipambana ili angalau niajiri 10 nisaidie kuongeza ajira, nikaanzisha ka chimbo, nikaajiri 10 wakanifilisi kwa wizi na uzembe. Nikafunga, wote wakarudi mtaani kuendelea na zoezi la kutafuta kazi.
  5. Azizi Mussa

    Nawezaje kujinasua kwenye huu mtego?

    Kwa hiyo unataka tukufundishe namna ya kukwepa deni ambalo unekopa???
  6. Azizi Mussa

    Wazee wa madini hii ni ruby au?

    Unaweza kupata kama laki
  7. Azizi Mussa

    Mnaojua masoko ya mbao kwa jumla

    Tangazo lako tu lilivyokaa ni sababu tosha ya kutouza. Tangazo halisemi mbao ni saizi gani? Unauza bei gani? Wewe ni mfanya biashara wa mbao au umezipata wapi na vitu maelezo mengine ya msingi na bado unashangaa kwa nini huuzi. Hili ni tatizo la wabongo wengi wanauza vitu kama vile...
  8. Azizi Mussa

    Nisaidieni, Hili husiano likivunjika sitaki kuanzisha husiano jengine!

    Kwa mara ya kwanza kabisa akili mnemba imeingia kwenye mahusiano. Tatizo la akili mnemba hutatuliwa ki-mnemba
  9. Azizi Mussa

    Nataka kufuga nyuki kisasa

    Mkuu mimi nilianza kufuga nyuki kwa mizinga 20 mwaka 2020. Somo kubwa nililojifunza nyuki hawapatani kabisa na wadudu, hivyo ibabidi angalau kila mwezi ukague mizinga na kusafisha wadudu angalau mara 2 vingunevyo nyuki hawaingii au hukimbia. Ila sasa niko busy sana sipati muda wa kutosha...
  10. Azizi Mussa

    Nataka kuolewa, ila nataka nieendelee na uhuru wangu

    Masikini mchumba wako. Dah! Ni huruma sana kwake.
  11. Azizi Mussa

    Ulitumia kiasi gani cha fedha ama umepanga kutumia kiasi gani cha fedha kugharamia harusi yako?

    Nilitumia laki 3 (Kila kitu humo humo). Nilijiandaa kwa muda wa masaa sita, wote walioshiriki walikula kuku. Chenchi ilibaki kidogo tukaanzia maisha. Kwa upande wa chakula nilipenda kachumbari, ilikuwa tamu sana.
  12. Azizi Mussa

    Una mtazamo gani juu ya mtu ambaye anataka kuwaridhisha sana wengine ili apendwa na watu wasimtenge?

    Kuna watu hawaridhiki hata uwafanyie nini. Kwenye hii dunia (kwa maoni yangu) jambo la kujiepusha nalo ni dhuluma tu.Jitahidi usidulu haki ya mtu mwingine au kudhuru mwingine, baada ya hapo fanya kinachokufurahisha. Anayetaka kwenda na wewe sawa, asietaka sawa. Duniani kuna makundi kadhaa ya...
Back
Top Bottom