Mi sioni tatizo kwa Halima Mdee,maswala ya kimapenzi ni swala la mtu binafsia,not necessary to explain each & evry thins in public.Namkubali sana mwana dada huyu .
Mi nadhan hakuna ubaya wowote,hayo ni makubaliano kati ya mume na mke kusaidiana majukumu,maisha ya ss ni tofauti na ya zamani,kila mtu anatakiwa aplay part,cha muhimu ni kuheshimiana tu!kazi za nyumbani baba anaweza akasaidia siku moja moja inapobid.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.