Kati ya miji tajika katika pwani, Malindi ni moja wapo wa miji yenye historia kubwa baada ya miji kama Zanzibar na Mombasa. Inakisiwa kuuanzishwa karne ya kumi na tatu, ikiwa katika dola ya waarabu.
Malindi kenya imepitia mikono wa wabambe kadhaa tangu enzi hizo. Hii ni ikiwemo waarabu wa...
Sijui aliyesema lakini ni maneno ya busara sana. Kasema nini aliyesema? Kasipo na wivu hapana mapenzi!!!
Mbona nasema haya? kila kukicha naangalia pandashuka za wasanii wa mji wangu wa Malindi huku nikilinganisha na wasanii wa mji mingine. Ni kama tunaonewa.
Hii ni safari, nianza leo na kila...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.