chagadema tumewazoea,mkishindwa mna nyimbo zilezile na gitaa ileile upuuzi mtupu,mmesahau kuwa na ktk chaguzi ndogo za madiwani mlishinda kata 3 na ktk kata hzo daftari lilikua ni lilelile,au mkishindwa ndio daftari lina kasoro?..kinachowaua ni kufanya tathmini ya kukubalika kwenu kupitia wingi...
afe salama huyo mbowe,tumechoshwa na unafiki wa cdm,lkn pia wakumbuke ktk chaguzi za madiwani walitumia chopa na kuambulia maumiv,ni ufisadi mtupu wa cdm kukodi chopa kwa ndesamburo ili pesa ya ruzuku izunguke mlemle kwa familia ya kichaga.
Mwenyekiti wa CCM Sumbawanga Jana ameumbuka baada ya wajumbe wa halmashauri kuu ya CCM Wilaya kubaini kuwa Kiongozi huyo amekua ni kinara wa
1-MAJUNGU
2-KIBARAKA WA WAZEE WASALITI WA CHAMA
3-MUUMINI WA MAKUNDI NDANI YA CHAMA
4-KUTOTIMIZA AHADI NDANI YA CHAMA
Toka Kiongozi huyu achaguliwe...
Dodoma. Serikali imekiri kuwa Mbunge wa zamani wa Kwela, Dk Chrisant Mzindakaya anamiliki bwawa la maji linalotegemewa kama chanzo cha maji kwa wakazi wa vijiji mbalimbali vilivyopo katika Mkoa wa Rukwa, ikieleza kuwa inafanya mchakato wa kulirejesha mikononi mwake.
Akizungumza katika...
KAZI IPO:Maelezo ya mlinzi wa CHADEMA{Red Brigade) ni kuwa mhusika wa ulipuaji bomu alikua na sare za kiraia...WAKATI maelezo ya mwenyekiti wake wa Chama Taifa anasema alikuwa na sare za jeshi ya polisi na ndio wahusika wakuu......yetu masikio.
HAO NDIO CHADEMA;Siku za mwanzo walikuwa wakiilaumu serikali kwa kuunda tume mbali mbali za uchunguzi kwa Madai kuwa kodi za wananchi zatumiwa vibaya JAMBO la ajabu Siku hizi wao NDIO vinara wa kuomba TUME mmmmh!TUNAYAKUBALI YALE TULOYAKATAA........mtusamehe wananchi
Baada ya mbunge wa Swanga Mjini Mhe.Aeshi kuomba serikali isimamie haki na kuwahurumia Wana-sumbawanga ambao kwa miaka 15 sasa walipoteza umiliki wa Nyumba zilizoachwa na mradi wa RUDEP,Nyumba hizo alizihodhi Mzee Mzindakaya aliekua akilipa elfu 50 kwa mwezi huku yeye akiwapangisha watumishi wa...
Hapa mi sijaona kosa la Aeshi mpaka mtoe maneno yote haya? Je mlitaka akae kimya? Je mlitaka Nyumba hizo aendelee kuzimiliki na wakati huohuo majaji wetu waendelee kukaa Nyumba za kupanga uswahilini? Je mlitaka watumishi wetu waendelee kupanga Nyumba kwake badala ya Serekali kuwapa watumishi.
Watanzania sijuwi tukoje hili swala la Nyumba hizo ni Kwamba anachosema Aeshi ni kwanini Nyumba achukuwe alafu azipangishe kwa watumishi wa Serekali wanapanga kwake? Mafano meneja wa tra mkoa na mh jaji.sasa hili hata Mimi haliningii akilini. Huyu Mzee ni fisadi papa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.